Fungua
Foundation for Indigenous Eduation (FIE) Morogoro

Foundation for Indigenous Eduation (FIE) Morogoro

Morogoro, Tanzania

Ni kwa mara nyingine tena shirika la Elimu Asilia limeendelea na tafiti zake katika Wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro kwa makabila ya Wandamba na Wambunga.

kikubwa kinachoangaliwa ni maadili katika makabila yote hayo tunayofanyia utafiti,

ili kuona je, hapo zamani mababu na bibi zetu waliishi vipi.

Hususan katika Ulinzi, Tambiko, Tiba, Vyakula, Ndoa, Jando na Unyago n.k.

1 Novemba, 2010
« Iliyotangulia

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.