Fungua
THE ALLIANCE FOR ENVIRONMENTAL CONSERVATION ORGANIZATION

THE ALLIANCE FOR ENVIRONMENTAL CONSERVATION ORGANIZATION

KIGOMA, Tanzania

large.jpg

1 Septemba, 2011
Ifuatayo »

Maoni (1)

Hili ni eneo la Hifadhi ya Msitu lililopo kwenye Milima inayopatikana kandokando ya Ziwa Tanganyika katika Visiwa vya Kilando na Sunuka. Ziwa hili na Misitu hii inayopatikana kandokando ya Ziwa Tanganyika inahifadhiwa na Shirika la ALECO kwa kushirikiana na Wakazi wanaoishi kwenye Visiwa vilivyopo pembezoni ya Ziwa Tanganyika.
1 Septemba, 2011

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.