Injira
WANAWAKE TUNAWEZA

WANAWAKE TUNAWEZA

kinondoni, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

kuelimisha wakina mama wajue haki zao na wajitambue na kuwapeleka panapohusika.

Pia kuelimisha jamii kwa ujumla na kuinua halizao za kujipatia kipato, kwa kujikwamua katokana na hali ya umasikini.

kuunda vikundi mbali mbali vywa ujasilia mali, hata kilimo bustani na mboga mboga na usidikaji, michezo. kugundua vipaji mbali mbali vya vijana katika michezo.

 

Amakuru agezweho
WANAWAKE TUNAWEZA yashyize TANZANIA YOUTH POWER MOVEMENT ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
Habari,Wanawake Tunaweza hatujafanya mawasiliano yoyote na TANZANIA YOUTH POWER MOVEMENT; tunaomba ufafanuzi zaidi kwani tupo tayari kuwa wabia.
24 Gashyantare, 2014
WANAWAKE TUNAWEZA yongeyeho 8 Amakuru agezweho.
DIRA {VISION}YA WATU – Kuwa na jamii ambayo inatambua uwezo na nafasi ya mwanamke katika kuleta maendeleo na fikra potofu kuwa mwanamke hawezi kuzifanya – DHIMA{MISSION}YA WATU – Kutambua fursa na jitihada mbalimbali juu ya jitihada za maendeleo zinazofanywa na wanawake na kuziweka wazi,Pia wanawake wanatumia ujuzi,Maarifa na... Soma ibindi
6 Ukuboza, 2012
WANAWAKE TUNAWEZA yongeyeho 3 Amakuru agezweho.
21 Ugushyingo, 2012
WANAWAKE TUNAWEZA afite ikiganiro kuri MADHUMUNI YA ASASI YA WANAWAKE TUNAWEZA[WATU].
WANAWAKE TUNAWEZA: [1]. Kujenga wanawake,watoto,wazee,vijana katika uwezo wa kiuchumi,kielimu na uongozi – [2]. kusaidia kuboresha afya za wanawake wajawazito,watoto na jamii kwa ujumla kwa – kuwapa eliumu kuhusu lishe,kujikinga na maradhi. – [3].kuboresha hali ya lishe,uzalishaji na usindikaji wa... Soma ibindi
19 Nzeli, 2012
WANAWAKE TUNAWEZA yakoze Amateka paje.
Asasi ya Wanawake Tunaweza ilianzishwa 05/10/2010 katika mtaa wa PWANI kata ya KUNDUCHI TEGETA wilaya ya KINONDONI,mkoa wa DAR-ES-SALAAM.Ikiwa na wanachama 20.Lengo kuu ilikuwa kuwaunganisha wanawake mbalimbali katika maendeleo na shughuli mbalimbali za kijamii na kitaifa. – Ilisajiliwa rasmi... Soma ibindi
19 Nzeli, 2012
WANAWAKE TUNAWEZA yashyizeho Amakuru agezweho.
wanawake tunaweza ni shirika lisilo la kiserikali lililoanzishwa mwaka 2010 mwezi wa kumi ' na lilisajiliwa rasmi 2o11 mwezi wa pili' shirika hili linajihusisha na jamii wanawake ,watoto,wazee vijana jamii nzima kwa ujumla
23 Kamena, 2012
Ibyiciro
Aho uherereye
Mbezi Tegeta, Dar es Salaam, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye