[1]. Kujenga wanawake,watoto,wazee,vijana katika uwezo wa kiuchumi,kielimu na uongozi
[2]. kusaidia kuboresha afya za wanawake wajawazito,watoto na jamii kwa ujumla kwa
kuwapa eliumu kuhusu lishe,kujikinga na maradhi.
[3].kuboresha hali ya lishe,uzalishaji na usindikaji wa chakula kwa kusaidia na tiba katika
kilimo na ufugaji.
[4]. kuboresha mazingira na usafi wanapoishi na mazingira ya kufanyia kazi.
[5]. Kukuza vipaji vya watoto wa kike wanawake na vijana kwa ujumla kwa kufuatilia semina
na mafunzo mbalimbali kutambua vipaji vyao na masoko.
[6]. Kuhamasisha uendelezaji wa michezo mbalimbali sanaa na utamaduni mashuleni, vyuoni
vijijini.
[7]. Kupinga na kukemea aina zote za unyanyasaji wa kijinsia,uonevu na uvunjaji wa haki za
binadamu kufanya jamii itambue haki zao na kuwapeleka kunakohusika.
[8]. Kusaidia kujenga hali ya amani,upendo na ushirikiano kwa kutumia wataalamu
mbalimbali katika kutoa elimu kwa jamii.