Parts of this page are in Swahili. Edit translations
wapa tunaungana na mitandao yoteya watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI pamoja na baraza la watu wanaoishi na virusi vya ukimwi Tanzania kwa kuadhimisha siku ya kuwasha mishumaa kuwakumbuka wanaharakati walioishi na virusi vya ukimwi na kufariki kwa ukimwi, tarehe 30/05/2010 katika uwanja wa mashujaa mnazi mmoja dar es salaam. wao walijitoa muhanga katika kuielimisha jamii ya watanzania ili kupunguza kasi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi kazi walioiacha nasi tunaiendeleza Mungu aziweke roho za marehmahala pema peponi.
May 28, 2010