Fungua
Women Against Poverty and HIV/AIDS

Women Against Poverty and HIV/AIDS

Mbezi Mshikamano, Tanzania

habari wana envaya ,wapa imeona kwamba katika mapambano dhidi ya ukimwi ,elimu imetolewa ila bado kuna idadi ndogo ya wanaume wanaojitokeza kupata huduma hiii,na hata wale wachache wanaojitokeza na kuonekana wana vvu,imekuwa vigumu kufuata matibabu kikamilifu ikiwemo matumizi sahihi ya arvs,hivyo wapa imeona kuna haja ya kufanya uhamasishaji kwa wanaume kujitokeza kupima vvu kwa hiari na kutoa mafunzo ya matumizi sahihi ya dawa za arvs, pia kuwahamasisha wale ambao wameshapima na kukutwa wana vvu ,na watumie vituo ambavyo viko karibu na maeneo wayoishi,hii itasaidia kupunguza unyanyapaa katika jamii inayotuzunguka,kwa kuliona tatizo hili wapa tunaomba ufadhili ili tuweze kufanya uhamasishaji kwa jamii.
20 Mei, 2010
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.