Log in

/indabaafrica/post/ccm-bei-mafuta-ya-taa-ishushwe,41500: English: WI00004B3D1142D000041500:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Bei za mafuta katika vituo mbalimbali zimeendelea kuwa karibu sawa tu na zilivyokuwa kabla ya kile kilichoitwa punguzo


KAMATI Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeiagiza Serikali kutafuta njia ya kushusha bei ya mafuta ya taa na kuhakikisha mafuta yote yanayoingia nchini yana ubora unaotakiwa.


Pia Kamati hiyo imeitaka Serikali kutafuta suluhu ya uchakachuaji wa mafuta, kwani uwezo wa kufanya hivyo inao.


Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema Kamati Kuu ya Chama hicho iliyokutana juzi pamoja na kujadili mambo mbalimbali ya chama, haijaridhishwa na kiwango cha bei ya mafuta ya taa.


Alisema nishati hiyo ndiyo inayotumiwa na wananchi wengi wa kipato cha chini nchini, na kwamba kupandishwa bei kwa kisingizio cha kupunguza uchakachuaji, si sahihi.


Aliongeza kwamba, kutokana na kupanda kwa gharama za mafuta hayo Serikali inapaswa kukaa na kutafuta njia zitakazoshusha bei hiyo na kuvitaka vyombo husika kuhakikisha ubora wa mafuta yanayoingia nchini.


“Tunaitaka Serikali itafute njia ya kushusha bei ya matufa ya taa na pia kutafuta suluhisho la uchakachuaji na si kupandisha bei,“ alisema Nape.


Aidha, alisema suala la umeme ni nyeti na kwa hali ilivyo sasa si nzuri na kuishauri Serikali kuja na njia za kunusuru hali hiyo.


“Athari ya kukosekana kwa umeme nchini ni kubwa, hivyo Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini, itumie muda iliopewa kurekebisha bajeti yao vizuri na kuja na mpango wa dharura wa kunusuru hili na pia kuja na majibu ya suluhu ya tatizo hili,” alisema Nape


Aliongeza kwamba madhara yanayoipata nchi na mtu mmoja mmoja ni makubwa na inasikitisha kwa hali ilivyo na kwamba lazima Serikali ije na suluhu ya jambo hilo.


Aidha, Nape alisema Kamati Kuu pia ilijadili masuala yanayogusa wananchi likiwamo la migogoro ya ardhi, madini bei ya pamba na kuagiza Serikali iyashughulikie kabla migogoro hiyo haijawa mikubwa.


Hivi sasa mafuta ya taa yanauzwa bei kubwa kuliko dizeli na petroli ambapo katika baadhi ya vituo bei elekezi ni Sh 1,940 na kikomo ni Sh 2,086 kwa Dar es Salaam wakati kigoma elekezi ni Sh 2,117 na kikomo ni Sh 2,334 kwa lita.


Kwa hali hiyo hiyo, bei elekezi ya dizeli kwa Dar es Salaam ni Sh 1,939 na kikomo ni Sh 2084 huku kwa Kigoma elekezi ni Sh 2170 na kikomo ni Sh 2,333.


Hatua ya kupandishwa kwa bei hiyo ya mafuta ilifikiwa bungeni katika Bajeti ya Mwaka huu wa Fedha, kwa lengo la kuhakikisha kwamba kodi ya mafuta ya taa haizidiani sana na ya dizeli na hivyo kuondokana na uchakachuaji.


Hata hivyo wachambuzi wa masuala ya uchumi wanadai kwamba wachakachuaji wanafahamika na hivyo ni wajibu wa Serikali kuwabana kuliko kumwumiza Mtanzania masikini anayeishi kwa kutegemea mafuta ya taa.


Lakini pia wanasema tatizo linalosababisha yote haya ni kwamba mafuta yote yanaagizwa kutoka nje ya nchi ambako bei inatoka huko huko lakini pia kodi ya mafuta nchini ni kubwa.

Wanatoa mfano kwamba lita moja ya mafuta ya taa huitozwa kodi ya Sh 400.30, ya petrioli ni Sh 534 na dizeli ni Sh 415.


Wachambuzi hao wanasema pia kwamba hata thamani ya sarafu kulinganisha na dola ya Marekani ni tatizo, “angalia Machi kiwango kilikuwa dola moja kwa Sh 1,400 leo ni Sh 1,600,” alisema mchambuzi ambaye hakuta kutajwa jina.


Asilimia 14 tu ya Watanzania ndio wanaotumia umeme huku asilimia iliyosalia ambayo wengi ni wananchi masikini waishio vijijini, wanatumia mafuta ya taa kumulikia na hata kupikia, hivyo bei ya nishati hiyo inapopanda inawaumiza.


Wakati huo huo, habari zilizopatikana jana jioni Dodoma, zilisema leo Serikali inatarajiwa kutangaza bei mpya ya mafuta nchini, baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati (Ewura) kukokotoa kwa kuzingatia maoni ya wadau mbalimbali


Source ::: Habari Leo

"

The price of oil in different centers have continued to be almost just like they were before the so-called discount


Central Committee (CC) of Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeiagiza Government to find ways of lowering the price of kerosene to ensure all oil imports in quality are required.


The committee also has called on the Government to seek solutions to fuel adulteration denies, as it maintains the ability to do so.


Speaking to the reporters in here yesterday, Ideology and Publicity Secretary of the CCM, Nape Nnauye, said the party's Central Committee yesterday iliyokutana together and discuss various aspects of society, not ijaridhishwa rate and the price of kerosene.


He said that energy is being used by many low-income country, and that a promotion price for an excuse to reduce uchakachuaji not correct.


He added that, due to rising fuel costs that government should stay and find a way to ask the price zitakazoshusha instruments to insure the quality of oil pouring into the country.


"We call on the Government seek ways of lowering the price of the lamp and also matufa solutions uchakachuaji and not raising prices," Nape said.


Moreover, he said the issue of electricity is critical to the current situation is not good and advising the government to come up with ways to save the situation.


"The impact of lack of electricity in the country is large, so the Government through the Ministry of Energy and Mines, Spend It iliopewa time to adjust their budgets well and come up with an emergency plan to save this and come up with answers to the solution of this problem," said Nape


He added that the impact yanayoipata countries and individuals is enormous and the situation is deplorable that the Government must come to a solution of the matter.


Moreover, Nape said the Executive Committee also discussed issues included yanayogusa citizens of disputes over land, mineral wool and the import price iyashughulikie Government before the conflict has not been large.


Currently, kerosene is sold expensive than diesel and gasoline at some stations where prices are indicative Sh Sh cap 1940 and 2086 in Dar es Salaam when the tambourine is indicative Sh 2,117 and Sh 2,334 cap per liter.


In that case, the price of diesel for guiding Dar es Salaam is the Sh Sh cap 1939 and 2084 while guiding it to Kigoma Sh Sh cap in 2170 and 2333.


Measures of the rising price of oil was reached in parliament in the budget for this fiscal year, aiming to ensure that the tax on kerosene is very izidiani and diesel and eliminate uchakachuaji.


However, issues of economic analysts argue that wachakachuaji are known and so is the task of shackling the Government than kumwumiza poor Tanzanians who survive on kerosene.


But they also say the problem causes all this is that all oil yanaagizwa from outside the country where the price comes out in there but also tax the oil industry is huge.

They like that one liter of kerosene is itozwa tax Sh 400.30, the petrioli is Sh Sh 534 and diesel is 415.


Analysts are saying that even the value of currency compared to the U.S. dollar is a problem, "see the March rate was one dollar a day is the Sh Sh 1400 1600," said an analyst who does not find mention of the name.


Only 14 percent of Tanzanians are using electricity while the remaining percentage is that many poor people in rural areas, they use kerosene kumulikia and even cooking, so the price of fuel inapopanda inawaumiza.


Meanwhile, the information gained from Dodoma yesterday evening, stated today the government is expected to announce a new price of oil in the country, after the Regulatory Authority for Water and Energy (EWURA) to calculate based on the views of stakeholders


Source::: News Today

"

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
April 11, 2012
(image) Oil prices in different centers have continued to be close just were before the so-called discount – Central Committee (CC) of the Revolutionary Party (CCM) imeiagiza Government find a way to keep the price of kerosene and ensure all oil imports in quality are required. – The committee also...
Google Translate
August 3, 2011
(image) The price of oil in different centers have continued to be almost just like they were before the so-called discount – Central Committee (CC) of Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeiagiza Government to find ways of lowering the price of kerosene to ensure all oil imports in quality are required. ...
This translation refers to an older version of the source text.