Log in

/indabaafrica/post/ccm-bei-mafuta-ya-taa-ishushwe,41500: English: WI00004B3D1142D000041500:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Bei za mafuta katika vituo mbalimbali zimeendelea kuwa karibu sawa tu na zilivyokuwa kabla ya kile kilichoitwa punguzo


KAMATI Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeiagiza Serikali kutafuta njia ya kushusha bei ya mafuta ya taa na kuhakikisha mafuta yote yanayoingia nchini yana ubora unaotakiwa.


Pia Kamati hiyo imeitaka Serikali kutafuta suluhu ya uchakachuaji wa mafuta, kwani uwezo wa kufanya hivyo inao.


Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema Kamati Kuu ya Chama hicho iliyokutana juzi pamoja na kujadili mambo mbalimbali ya chama, haijaridhishwa na kiwango cha bei ya mafuta ya taa.


Alisema nishati hiyo ndiyo inayotumiwa na wananchi wengi wa kipato cha chini nchini, na kwamba kupandishwa bei kwa kisingizio cha kupunguza uchakachuaji, si sahihi.


Aliongeza kwamba, kutokana na kupanda kwa gharama za mafuta hayo Serikali inapaswa kukaa na kutafuta njia zitakazoshusha bei hiyo na kuvitaka vyombo husika kuhakikisha ubora wa mafuta yanayoingia nchini.


“Tunaitaka Serikali itafute njia ya kushusha bei ya matufa ya taa na pia kutafuta suluhisho la uchakachuaji na si kupandisha bei,“ alisema Nape.


Aidha, alisema suala la umeme ni nyeti na kwa hali ilivyo sasa si nzuri na kuishauri Serikali kuja na njia za kunusuru hali hiyo.


“Athari ya kukosekana kwa umeme nchini ni kubwa, hivyo Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini, itumie muda iliopewa kurekebisha bajeti yao vizuri na kuja na mpango wa dharura wa kunusuru hili na pia kuja na majibu ya suluhu ya tatizo hili,” alisema Nape


Aliongeza kwamba madhara yanayoipata nchi na mtu mmoja mmoja ni makubwa na inasikitisha kwa hali ilivyo na kwamba lazima Serikali ije na suluhu ya jambo hilo.


Aidha, Nape alisema Kamati Kuu pia ilijadili masuala yanayogusa wananchi likiwamo la migogoro ya ardhi, madini bei ya pamba na kuagiza Serikali iyashughulikie kabla migogoro hiyo haijawa mikubwa.


Hivi sasa mafuta ya taa yanauzwa bei kubwa kuliko dizeli na petroli ambapo katika baadhi ya vituo bei elekezi ni Sh 1,940 na kikomo ni Sh 2,086 kwa Dar es Salaam wakati kigoma elekezi ni Sh 2,117 na kikomo ni Sh 2,334 kwa lita.


Kwa hali hiyo hiyo, bei elekezi ya dizeli kwa Dar es Salaam ni Sh 1,939 na kikomo ni Sh 2084 huku kwa Kigoma elekezi ni Sh 2170 na kikomo ni Sh 2,333.


Hatua ya kupandishwa kwa bei hiyo ya mafuta ilifikiwa bungeni katika Bajeti ya Mwaka huu wa Fedha, kwa lengo la kuhakikisha kwamba kodi ya mafuta ya taa haizidiani sana na ya dizeli na hivyo kuondokana na uchakachuaji.


Hata hivyo wachambuzi wa masuala ya uchumi wanadai kwamba wachakachuaji wanafahamika na hivyo ni wajibu wa Serikali kuwabana kuliko kumwumiza Mtanzania masikini anayeishi kwa kutegemea mafuta ya taa.


Lakini pia wanasema tatizo linalosababisha yote haya ni kwamba mafuta yote yanaagizwa kutoka nje ya nchi ambako bei inatoka huko huko lakini pia kodi ya mafuta nchini ni kubwa.

Wanatoa mfano kwamba lita moja ya mafuta ya taa huitozwa kodi ya Sh 400.30, ya petrioli ni Sh 534 na dizeli ni Sh 415.


Wachambuzi hao wanasema pia kwamba hata thamani ya sarafu kulinganisha na dola ya Marekani ni tatizo, “angalia Machi kiwango kilikuwa dola moja kwa Sh 1,400 leo ni Sh 1,600,” alisema mchambuzi ambaye hakuta kutajwa jina.


Asilimia 14 tu ya Watanzania ndio wanaotumia umeme huku asilimia iliyosalia ambayo wengi ni wananchi masikini waishio vijijini, wanatumia mafuta ya taa kumulikia na hata kupikia, hivyo bei ya nishati hiyo inapopanda inawaumiza.


Wakati huo huo, habari zilizopatikana jana jioni Dodoma, zilisema leo Serikali inatarajiwa kutangaza bei mpya ya mafuta nchini, baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati (Ewura) kukokotoa kwa kuzingatia maoni ya wadau mbalimbali


Source ::: Habari Leo

"

Oil prices in different centers have continued to be close just were before the so-called discount


Central Committee (CC) of the Revolutionary Party (CCM) imeiagiza Government find a way to keep the price of kerosene and ensure all oil imports in quality are required.


The committee also has called on government to find solutions uchakachuaji of oil, since the ability to do it maintains.


Speaking to the reporters in Nairobi yesterday, Ideology and Publicity Secretary of the CCM, Nnauye Nape, said the party's Central Committee yesterday iliyokutana together and discuss various aspects of the party, not ijaridhishwa and price level of kerosene.


He said that energy is being used by many low-income country, and that a promotion price for an excuse to reduce uchakachuaji, not right.


He added that, due to rising fuel costs that government should stay and find ways zitakazoshusha prices and ask agencies to insure the quality of oil pouring into the country.


"We call on the Government to find ways to keep the price of Tufa and lighting solutions uchakachuaji and not raise prices," said the nape.


Moreover, said the issue of power is sensitive to the current situation is not good to advise the Government to come up with ways to save the situation.


"Effect of lack of electricity in the country is large, so the Government through the Ministry of Energy and Minerals, staffed iliopewa time to adjust their budgets well and come up with an emergency plan to save this and come up with answers to the solution of this problem," said Nape


He added that the effects yanayoipata individual countries is enormous and it is sad for the situation that the Government must come to a solution of the matter.


Moreover, Nape said the Central Committee also discussed issues that affect people's included disputes over land, mineral wool and import prices iyashughulikie government before it has not had any major conflicts.


Currently kerosene is sold expensive than diesel and gasoline at some stations where the indicative price is Shs 1,940 and Shs 2,086 limit for Dar es Salaam when the tambourine guiding Shs 2117 and Shs 2,334 limit per liter.


In this situation, the indicative price of diesel in Dar es Salaam is Shs 1,939 and Shs 2,084 limit while in Kigoma guiding Shs 2,170 and Shs 2,333 limit.


Step the rising price of oil was reached in parliament in the budget for this fiscal year, aiming to ensure that the tax on kerosene is very izidiani diesel and thus eliminate uchakachuaji.


However, issues of economic analysts argue that wachakachuaji are known and it is the responsibility of the Tanzanian government shackling than hurt the poor who survive on paraffin.


But they also say the problem causing all of this is that all oil yanaagizwa from overseas where it comes from there in price but also taxes the oil in a large.

They give the example that one liter of kerosene is itozwa tax Sh 400.30, the petrioli is Shs 534 and Shs 415 diesel.


Analysts say that the value of the currency even compare to the U.S. dollar is a problem, "see March rate was one dollar a day is Sh Sh 1400 1600," said an analyst who is found to be named.


Only 14 percent of Tanzanians are using electricity while the remaining percentage that most rural poor people, they used kerosene kumulikia and even cooking, so the price of energy is expected to rise inawaumiza.


Meanwhile, information obtained in Dodoma yesterday evening, said today the Government is expected to announce new price of oil in the country, after the Regulatory Authority for Water and Energy (EWURA) to calculate based on the views of various stakeholders


Source ::: News Today

"

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
April 11, 2012
(image) Oil prices in different centers have continued to be close just were before the so-called discount – Central Committee (CC) of the Revolutionary Party (CCM) imeiagiza Government find a way to keep the price of kerosene and ensure all oil imports in quality are required. – The committee also...
Google Translate
August 3, 2011
(image) The price of oil in different centers have continued to be almost just like they were before the so-called discount – Central Committee (CC) of Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeiagiza Government to find ways of lowering the price of kerosene to ensure all oil imports in quality are required. ...
This translation refers to an older version of the source text.