Log in

/fmzeituni/news: English

BaseEnglish
(image) – Viongozi wa shirika lisilo kuwa la kiserikali la Mzeituni Foundation Mkurugenzi Bw.Meshack Masanja na mwenyekiti wa bodi Bw.Kaneja Faraja akiwakabidhi masanduku wananchi wa kata ya Mriti waliounda vikundi vya ujasilia mali vya kuweka na kukopa kupitia mradi uliofadhiliwa na shirika la kiswidenila Forum SYD mwezi jan-2011(image) – Leaders have a non-governmental olive Bw.Meshack Foundation Director and chairman of the board Masanja Bw.Kaneja Comfort was delivered boxes of county citizens who formed the rite groups ujasilia wealth through savings and credit project funded by the Forum Syd organization kiswidenila month jan -2011Edit
(image) – Mwalimu wa mafunzo ya PETS Bw. Paul Benjamin akitoa maelezo ya mafanikio ya semina hii kwa wafadhili wa mradi wa uwajibikaji wa umma yaliyotolewa na shirika la Mzeituni Foundation katika kata ya Mriti tarehe 24-26/01/2011 kwa ufadhili wa shirika la Forum Syd kutoka nchini Sweden.(image) – Teacher training PETS Mr. Paul Benjamin he gave details of the success of the workshop for the project sponsors' accountability of the public made by the agency in the county of Olives Foundation rite on 24-26/01/2011 funding agency from Forum Syd in Sweden.Edit
(image) – Mkurugenzi wa shirika lisilokuwa la kiserikal la Mzeituni Foundation Bw.Meshack Masanja akifungua mafunzo ya kuweka na kukopa kwa vikundi vya wajasilia maliwa kata ya Mriti mwezi jan 2011 kwa ufadhili wa shirika la FORUM SYD kutoka nchini Swiden.(image) – Director of a non-kiserikal olive Foundation Bw.Meshack Masanja opening training savings and credit groups wajasilia governed ward rite month jan 2011 with funding from the agency in Swiden FORUM Syd.Edit
(image) Baadhi ya washiriki wakiwa wanapata mafunzo ya PETS yaliyotolewa na la Mzeituni Foundation kwa ufadhili wa shirika la Forum Syd kutoka nchini Sweden katika kata ya Mriti tarehe 24-26/1/2011 (image) Baadhi ya picha ya wafadhili wa mradi wa ufuatiliaji na uwajibikaji kwa umma wakiwa wanaongea na mmoja wa wanawarsha wa mafunzo ya PETS huko Mriti 24-26/01/2011 yaliyoendeshwa na shirika la mzeituni foundation wakiwa wanafanya ufuatiliaji wa...(image) Some of the participants while they received training and olive PETS Foundation provided funding for the Forum Syd organization in Sweden in the county from the rite on 24-26/1/2011 (image) Some pictures of the sponsors of the project monitoring and public accountability as they speak with one of the PETS training workshops in 24-26/01/2011 rites conducted by an olive tree foundation as they make their project monitoring. ...Edit
(image) Baadhi ya watu wanaoishi na VVUna UKIMWI katika kata ya Bukanda (W)Ukerewe wakimsubiri mgeni rasimi kwa ajili ya kufungua rasimi ugawaji wa unga wa rishe na madawa yanayozuia magojwa nyemelezikwa watu waishio na VVU na UKIMWI tarehe 02/01/2011 ambao ulitolewa na shirika la Mzeituni Foundationi chini ya ufadhiri uliotolewa na Halmashauri ya (W) Ukerewe. (image) Mfanyakazi wa shirika la MzeituniFoundation Bw.Juma Ally Msumi...(image) Some people living with AIDS in the county of VVUna Bukanda (W) Ukerewe they waited for the official visitor officially open the distribution of the powdered drug inhabit and restricting disease nyemelezikwa people living with HIV and AIDS on 02.01.2011 which was produced by the agency olive Foundationi under ufadhiri granted by the Board of (W) Ukerewe. (image) Agency worker MzeituniFoundation Bw.Juma Ally Sumi providing...Edit
(image) – Watoto wanaoishi na virusi vya ukimwi wanaosoma katika shule ya msingi kagera (W)Ukerewe wakiwa wanasubiri kupewa msaada wa unga wa rishe na mfafakazi wa shirika la Mzeituni Foundation kupitia mradi uofadhiriwa na Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe ambao ulifafika mwezi wa jan- Feb 2011 – Watu wenye mapenzi mema na watoto hawa wanakaribishwa kuwasaidi zaidi maama wanaishi na bibi zao wasio kuwa na uwezo wa kuwahudumia...(image) – Children living with HIV who are studying in primary school Kagera (W) Ukerewe while awaiting assistance of flour inhabit and mfafakazi agency Olives Foundation through the project uofadhiriwa and District Council of Ukerewe which fafika month of jan-February 2011 – People of good will and these children are invited kuwasaidi more mothers live with their grandmother who was capable of serving the educational, life....Edit