Log in

/indabaafrica/post/waziri-mundu-atua-mbeya-ateta-na-mkuu-wa-mkoa-kwa-saa115,41028: English: WI0001CBA3CA505000041028:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English
waa.jpg
Waziri Mundu akisaini kitabu cha wageni katika uwanja wa ndege wa mbeya mara baada ya kuwasili uwanjani hapo na kupokelewa na uongozi wa mkoa wa mbeya uliongozwa na Afisa katika sekretalieti ya Mkoa bwana Moses Chitama

nnnn.jpg
Miongoni mwa viongozi walioongoza na waziri Mundu pamoja na watu waliofika kumpokea wakiwa kwenye chumba cha VIP ambamo waziri alipumzika dakika chache kabla ya kwenda kuonana na mkuu wa mkoa wa Mbeya. Waziri mundu aliwasili uwanjani hapo majira ya saa 1.40

Na Danny Tweve
Waziri wa Uchukuzi Omary Nundu amewasili mkoani mbeya akiwa na ujumbe wa watu wanne akiwemo kiongozi wa chama cha wasafirishaji wa mizigo Zacharia Hans Pope kwa lengo la kushughulikia mgomo wa madereva wa magari yanayopeleka mizigo nje ya nchi.
Waziri huyo ambaye awali alipanga kuzungumza na madereva hao majira ya saa 10, kwa matarajio ya kuwasili saa 9.00 alasiri alichelewa na kutua uwanjani mbeya majira ya saa 1.40 Usiku.
Mara baada ya kuwasili alikwenda moja kwa moja nyumbani kwa mkuu wa mkoa wa Mbeya ambapo aliungana na kamati ya Ulinzi na usalama akiwa yeye na ujumbe wake ambapo waliteta kwa takribani saa 1.15 juu ya mgogoro huo.
Imeelezwa kuwa mkutano huo utafanyika asubuhi majira ya saa tatu katika eneo la Sogea mjini Tunduma.
Indaba africa kama kawaida itaendelea kuwapa kila kinachojiri  kuhusiana na suala hilo, ambalo kwa namna moja limeathri uchumi wa nchi, huku hali ya uchafuzi wa mazingira katika mji wa Tunduma ikiendelea kushika kasi kutokana na msongamano wa magari ambao umepelekea hata huduma za jamii kupungua eneo la Vyoo .
the .jpg
Mundu's minister signed the visitors book at the airport immediately after arrival mbeya pitch there and accepted the leadership of the province mbeya led by Officer in the Regional Master Moses sekretalieti Chitama

nnnn.jpg
Among the leaders who lead and minister Mundu with people who came to receive him in the VIP room where the minister had rested a few minutes before going to meet with the governor of Mbeya. Minister sickle arrived at the pitch at the time of 1:40

And Danny Tweve
Minister of Transport Omary sickle has arrived in Mbeya with the message of four people including the leader of the party of the cargo transporters Pope Zacharia Hans strike in order to address the drivers of freight vehicles yanayopeleka abroad.
The minister, who originally planned to talk to the drivers of the season at 10, with hopes of arriving at 9:00 was late afternoon and field landing mbeya summer at 1:40 AM.
Soon after arrival he went directly home to the governor of Mbeya, where he joined the committee of defense and security as he and his delegation when they plead for about 1.15 hours on the crisis.
Indicated that the conference will be held the morning three hours in summer move in Tunduma area.
Indaba africa as usual will give all kinachojiri related issue, which in one way limeathri local economy, while the state of pollution in the town of Tunduma continues to keep pace due to traffic congestion which has led to social services reduced the area of ​​Toilets .

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
November 15, 2011
(image) Minister Mundu he signed the visitors book at the airport immediately...
Google Translate
July 29, 2011
(image) Mundu's minister signed the visitors book at the airport immediately...
This translation refers to an older version of the source text.