Picha ya Mzee wetu Marehemu Dunstan Lugagile Mtitu Mgani ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 61
Mwili wa marehemu ukiwa mbele ya familia na waombolezaji wengine kwenye kanisa la ANGLICAN la Mtakatifu Andrew mjini Njombe
Familia ya Marehemu Dunstan Mgani ikiwa imelizunguka jeneza kabla ya kuelekea makaburini eneo la Mji mwema kwaajili ya kuhifadhi mwili wa marehemu kwa pumziko la milele mpaka ufufuo wake.
Makasisi wa Kanisa Anglican Njombe wakiwa wamelizunguka kaburi kwaajili ya maombi
Padre Almas ambaye aliongoza ibada ya mazishi akisisitiza jambo kwa watu waliofika kumsindikiza mzee wetu kwenye pumziko la milele
Familia ya Mzee Mgani ikiongozwa na Mtoto wake wa kwanza bwana Oscar Mgani wa kwanza kulia pamoja na waumini wenginewaliomiminika kwenye kanisa la Mtakatifu ANDREA mjini Njombe kushiriki ibada ya kumuaga mzee huyu ambaye anaelezwa kuwa alikuwa kiungo muhimu baina ya kanisa, waumini na jamii kwa ujumla katika mji wa Njombe na vitongoji vyake.
Ni sehemu tu ya watu waliofika makaburini kushiriki mazishi ya MZEE MTITU DUNSTAN MGANI ambapo kwa hesabu ya haraka magari yaliyoshiriki kwenye msafara ni zaidi ya 300 hatua ambayo baadhi ya watu waliotarajiwa kushiriki kwenye mazishi walishindwa kufika kwa wakati na kuwasili makaburini wakati wengine wakitawanyika kutokana na msongamano wa magari kwenye barabara ya Njombe -Songea ambako msafara huo ulipitishwa kuelekea makaburi ya mji mwema.
Askofu wa Kanisa Anglican Njombe pamoja na Canon Mwafute wakiweka shada la maua kwa pamoja kwenye kaburi la mzee Dunstan Mgani juzi mjini Njombe
Pictures of our late Mzee Dunstan does Lugagile Titus, who has died at the age of 61 years
The body of the deceased being professional mourners in front of family and others in the Anglican church of St. Andrew in Njombe
Family of Deceased Dunstan What if imelizunguka coffin towards the cemetery before the city a good location for storing the body of the deceased to rest for ever until His resurrection.
Priests of the Anglican Church Njombe having lizunguka grave for the application
Almas priest who led the funeral rites by stressing what the old people who came to accompany us to the rest of eternity
The family of Mzee what led to her child's first master Oscar did the first right and the members wenginewaliomiminika the church of St. Andrew in Njombe share worship farewell old on him whom he told that he was a key link between the church, believers and communities in the city of Njombe and its surroundings.
...
In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register