Envaya

/indabaafrica/post/vodacom-miss-tanzania-2011-kuingia-kambini-tarehe-882011,41503: English: WI0000143DB0936000041503:content

Base (Swahili) English

002.MISS.jpg
Mkurugenzi wa Lino Internation Agency waandaji wa Miss Tanzania Hashimu Lundenga akiongea na kuwatambulisha baadhi ya warembo waliowahi kushiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania miaka ya nyuma katika moja ya hafla jijini Dares Salaam.

Lino Internation Agency chini ya Mkurugenzi wao Hashim Lundenga ambao ni waandaji wa shindano lenye hadhi ya kimataifa la urembo la Vodacom Miss Tanzania wametangaza rasmi jumla ya warembo thelathini (30) waliofanyikiwa kupata nafasi ya kushiriki katika shindano la Urembo la Vodacom Miss Tanzania 2011.

Warembo hawa wamepatikana baada ya kupitia ngazi mbali mbali za Mashindano ya Vodacom Miss Tanzania katika ngazi za chini, ikiwa ni pamoja na Vitongoji, Wilaya na Mikoa, na hatimaye ngazi ya Kanda, Jumla ya Kanda kumi na moja (11) zilishirikishwa katika Mashindano haya,alisema Lundenga

Alisema kambi ya shindano hili la 'Vodacom Miss Tanzania 2011' inategemea kuanza siku ya Jumatatu ya tarehe 8 / 8 / 2011 jijini Dares Salaam.

Lundenga alitoa wito kwa washiriki wote waliochaguliwa kwenye kambi hiyo kuripoti tarehe iliyotajwa hapo juu bila ya kukosa, katika ofisi za Miss Tanzania zilizopo mtaa wa Mkwepu saa 4.00 asubuhi.

Mkurugenzi huyo aliwataja warembo wanaotakiwa kufika kambini kuwa ni Chiaru Masonobo kutoka Dares Salaam,Zerulia Manoko,Maua Kimambo,Dalilah Ghalib,Christine Mwenegoha(kanda ya kati)Chritine William,Atu Daniel,Leyla Juma(Nyanja za juu kusini)Zubeda Seif,Stacey Alfred,Rose Hubert(kanda ya kaskazini)Husna Twalib,Cynthia Kimasha,Mwajab Juma(Kanda ya Temeke)Neema Mtitu,Weirungu David(Open University)Glory Lory,Blessing Ngowi(Higher Learning)Loveness Flavian,Asha Salehe,Mariaclara Mathayo,(Kanda ya Mashariki)Trace Sospeter,Irene Karugaba,Glory Samwel(Kanda ya Ziwa)Stella Mbuge,Husna Maulid,Hamisa Hussein(Kanda ya Kinondoni)Salha Israel,Alexia Willims,Jenifer Kakolaki(Ilala)

Nae Mkuu wa Udhamini wa Vodacom Tanzania Bw.George Rwehumbiza alisema kampuni yake ipo tayari kuwapokea warembo kwani mwaka huu wamejiandaa vya kutosha na wanatarajia kuyaweka mashindano haya ya urembo kuwa ya kimataifa zaidi kuendana na silogani ya Vodacom isemayo 'Kazi ni Kwako'akimaanisha maandalizi yote yako vizuri kazi kubwa ni ni kwa warembo wenyewe tu kujiweka sawa na ili baadae waje kuipeperusha bendera ya Taifa letu kimataifa siku za usoni.

Lundenga aliongeza kwa kusema iwapo itatokea mshiriki kushindwa kufika kwa wakati na tarehe iliyotajwa hapo juu basi mshiriki huyo atakuwa amejiondoa mwenyewe katika Mashindano haya na nafasi yake kupewa mshiriki mwingine.
"

002.MISS.jpg
LINO Internation Agency Director makers of Miss Tanzania Hashimu Lundenga speaking and introduce some beauty queens who had already participated in a competition for the Vodacom Miss Tanzania in the past in one of the occasions in Dares Salaam.

LINO Internation Agency under the Director them Hashim Lundenga who are makers of the competition with the status of the international trail of Vodacom Miss Tanzania have been officially declared a total pretty thirty (30) were fanyikiwa get a chance to participate in a competition for the beauty of the Vodacom Miss Tanzania 2011.

Models they have found after reviewing the level of different competitions Vodacom Miss Tanzania at lower levels, including neighborhoods, districts and regions, and finally the level of Regional Total Regional eleven (11) zilishirikishwa in competitions this said Lundenga

He said the bloc's competition 'Vodacom Miss Tanzania 2011' expects to start Monday's on 8 / 8 / 2011 in Dares Salaam.

Lundenga urged all members elected to the camp reporting dates mentioned above without missing, the office of Miss Tanzania Mkwepu existing street at 4:00 am.

Director was named beauty queens who are supposed to reach the camp that is Chiaru Masonobo from Dares Salaam, Zerulia Manoko, Flowers Kimambo, Dalilah Ghalib, Christine Mwenegoha (Central) Chritine William, people Daniel, Leyla Juma (areas of high south) Zubeda Seif, Stacey Alfred , Rose Hubert (northern region) Husna Twalib, Cynthia Kimasha, Ajab Juma (Zone Temeke) Grace Titus, David Weirungu (Open University), Lory Glory, Blessing Ngowi (Higher Learning) Loveness Flavian, Asha Salehe, Mariaclara Matthew (Kanda East) Trace Sospeter, Irene Karugaba, Samwel Glory (Lake) Stella gluttony, Husna Maulid, Hamisa Hussein (Zone Kinondoni) Salha Israel, Alexia Willims, Jenifer Kakolaki (Ilala)

Nae General Trust Bw.George Rwehumbiza Vodacom Tanzania said his company is ready to receive them pretty for this year are fully prepared and expect to keep this beauty contest to be more international and I matched the Vodacom logani saying 'task is organizing all your Kwako'akimaanisha good work is pretty large itself to later adjustment and come kuipeperusha international flag of our nation's future.

Lundenga added to say if the participant failed to occur at a time and date specified above, then the participant will have left myself in these competitions and given him another chance.
"

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
November 2, 2011
(image) Director of Agency LINO Internation makers of Miss Tanzania Hashimu Lundenga speaking to introduce some pretty who...
Google Translate
August 3, 2011
(image) LINO Internation Agency Director makers of Miss Tanzania Hashimu Lundenga speaking and introduce some beauty queens who...
This translation refers to an older version of the source text.