Log in

/indabaafrica/post/madiwani-manispaa-ya-songea-wamweka-pabaya-mkurugenzi,51255: English: WI0008A4509FBE0000051255:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Kushoto ni Katibu wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Faustine Mhagama akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Mafunzo na Maadili ya Waandishi wa Habari Tanzania Juma Nyumayo (katika) kushoto Mwenyekiti wa Mtaa wa Namanyigu kata ya Mshangano Fidolin Malindisya baada ya kutoa tamko lake mbele ya waandishi wa habari la kumtaka Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Zakaria Nachoa kuheshimu maamuzi ya vikao halali vya Madiwani na vya kata hiyo kuhusu mgogoro wa Ardhi unaoendelea mjini humo
MADIWANI wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea wamemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Zakaria Nachoa kuacha mara moja kulumbana na wananchi wa kata ya Mshangano na Kampuni ya Ardhi Plan kwa maslahi yake binafsi

Mwandishi wa mtandao huu wa www.francisgodwin.blogspot.com Stephano Mango anaripoti kutoka Ruvuma kuwa akisoma tamko hilo kwenye ukumbi wa Better Life Tanzania mjini mbele ya waandishi wa habari Katibu wa Madiwani wa Halmashauri hiyo ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Mshangano Faustine Mhagama alisema kuwa wanashangaa na tabia ya Mkurugenzi huyo kukaidi maagizo halali ya vikao na kuwasumbua wananchi kwa maslahi yake

Mhagama alisema kuwa idara ya ardhi ya Manispaa hiyo imekuwa kero kubwa sana katika upangaji wa mji na uendelezaji wa makazi kwa wananchi wake kutokana na urasimu mkubwa unaofanywa na viongozi wake

Alifafanua kuwa kila siku wananchi wanawalalamikia Madiwani kuhusu suala hilo hali ambayo inapelekea kuwa na adha kubwa kwa wananchi ambao wanataka kuendeleza maeneo yao

Alisema kuwa wananchi wa Kata ya Mshangano kwa ridhaa yao na kwa kushirikiana na viongozi wao wa Mitaa waliamua kuipa kazi Kampuni ya Ardhi Plan ili iweze kuwapimia maeneo yao kwa kuzingatia michoro ya Halmashauri

Alisema kuwa wananchi wa mitaa ya Namanyigu,Mshangano na Mitendewala waliamua kufanya mikutano ya hadhara na kuwaalika viongozi wa Kampuni hiyo ili waweze kukubaliana namna ya kufanikisha zoezi hilo

Alieleza kuwa baada ya wananchi kukubaliana na Kampuni walipeleka taarifa kwa Mkurugenzi wa Manispaa kwa taarifa na hatua zaidi lakini wanashangaa Mkurugenzi huyo ameshindwa kuwajibu wananchi na badala yake ameuzuia mchoro na kuinyima kibali Kampuni hiyo bila sababu za kimsingi

Alisema kuwa Manispaa imekithiri kwa vitendo vya kuwadhuluma wananchi ardhi katika maeneo yao jambo ambalo linasababisha wananchi wawe na maisha magumu kutokana na tama mbaya ya fedha ya viongozi wa idara ya ardhi ya Manispaa hiyo

Alibaisha kuwa Kampuni hiyo kwa kushirikiana na wananchi ambao ndio wenye ardhi pamoja na viongozi wa Serikali za Mitaa na Kata hiyo waliandaa mchoro mzuri na wa kisasa ambao maeneo muhimu kwa huduma za kijamii kama vile makanisa,misikiti,masoko,vituo vya mabasi,Zahanati na shule yametengwa

Alifafanua zaidi kuwa wananchi wamechoka na vitendo vya unyonyaji vinavyofanywa na Manispaa wananchi kwa umoja wao waliamua kwa dhati kuhihitaji Kampuni hiyo ili iweze kupima ardhi na maeneo yao ambayo yameendelezwa kiholela ili waweze kupata hatimiliki za maeneo hayo kwa lengo la kujikomboa kiuchumi kupitia ardhi yao kwa kupata mikopo kwenye taasisi za fedha

Alisema kuwa endapo Mkurugenzi ameshindwa kuheshimu matakwa ya wananchi wa Mshangano na maamuzi ya vikao halalibasi mkurugenzi huyo hatoshi na atakiwi kwa maslahi ya wananchi wa Manispaa hiyo

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mipango miji ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Matarawe akizungumza kwenye mkutano huo alisema kuwa Mkurugenzi huyo aliagizwa na Kamati yake katika kikao kilichoketi agosti 4 mwaka huu kuwa ifikapo tarehe 30 agosti mwaka huu kampuni hiyo iwe imeanza upimaji katika eneo la Mshangano

Makene alisema kuwa maagizo ya kikao chake ni halali kwa mujibu wa kanuni za Halmashauri hivyo yanapaswa yatekelezwa haraka kwa maslahi ya wananchi na sio ya mtu binafsi

Alieleza kuwa Halmashauri ya Manispaatangu ianzishwe mika 20 iliyopita imeweza kupima viwanja elfu 13 tu ambapo Kampuni ya Ardhi Plan ndani ya miezimitano imefanikiwa kupima viwanja elfu 16 na kwamba ina mpango wa kuchonga barabara katika maeneo yote ya kata ya Mshangano

Alisema kuwa kitendo cha Mkurugenzi kukaidi maagizo hayo kinaashiria kuwa kina mazingira ya ubabe na rushwa hivyo vikao vimemuagiza atoe haraka vibali ili Kampuni hiyo iweze kuwapimia wananchi maeneo yao vinginevyo Baraza la Madiwani la dharura litaitishwa kwa hatua zaidi dhidi ya Mkurugenzi huyo

Gazeti hili lilimtafuta Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Zakaria Nachoa ili kuweza kupata lolote kutoka kwake kuhusiana na tamko hilo alisema kuwa amelisikia tu lakini hajalipata kwa maandishi na kwamba yupo safarini kuelekea Dodoma kikazi


Left is Secretary of the House of Councillors of the Municipal Council of Sudbury Faustine Mhagama he exchanged views with Chairman of the Training and Ethics of Journalists Tanzania Juma Nyumayo (in) left Chairman Street Namanyigu ward Mshangano Fidolin Malindisya after giving his statement before The authors of the petition concerning the Municipal Director Zakaria Nachoa decisions respecting legal proceedings and of the County Councillors about the ongoing crisis in the city Land
Councilors for Songea Municipal Council have asked the Director of the Board Zakaria Nachoa immediately stop arguments with people in the county of Mshangano Plan Land Company for personal interest

The author of this web www.francisgodwin.blogspot.com Stephano Mango reports from Ruvuma statement was read on the porch of the Better Life Tanzania in front of the press secretary of the Councillors of the Council who is also a Councillor for Ward Mshangano Mhagama said Faustine were surprised by the intractable nature of the Director lawful orders of the sessions and disturb the public interest

Mhagama said that the municipal department of land has been a great nuisance in city planning and development of housing for its citizens due to the huge bureaucracy by its leaders

He explained that every day people complain about Councillors on the issue condition that leads to big trouble for the people who want to develop their areas

He said that the citizens of Ward Mshangano their own volition and in collaboration with their local leaders decided to give the work Land Company Plan to be kuwapimia their locations based on drawings of the Board

He said that people in the streets of Namanyigu, Mitendewala Mshangano and decided to make public meetings and invited the leaders of the company to agree how to achieve this task

He explained that when people agree with the Company sent notice to the Director of the Municipality for information and no further action but are surprised that the Director has failed to answer the public and instead has prevented drawing and withhold approval because the company was essentially without

He said that the actions of the borough imekithiri kuwadhuluma public land in their areas which are supposed to be a living country and emigrate due to bad financial leaders of the municipal department of land that

Alibaisha that company in partnership with citizens who are the ground with the leaders of Local Government and Ward were prepared artwork beautiful and modern, which areas important for social services such as churches, mosques, markets, bus, clinics and schools reserved

He explained further that citizens are tired of acts of exploitation, unjust and borough citizens to union decided to sincerely kuhihitaji company in order to measure the land and their locations which developed locally in order to obtain title to these areas in order to liberate economically through their land to get loans on financial institutions

He said that if the Director has failed to respect the wishes of the citizens of Mshangano and the decisions of the director lalibasi not enough to be required in the interests of the citizens of the borough's

For his part the Chairman of the Planning cities who also is Councillor for Ward Matarawe speaking at the conference said that the director was commissioned by the Committee in session kilichoketi August 4 this year that by the 30th of August this year the company that it has begun testing in the area of...


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
November 1, 2011
(image) Left is Secretary of the House of Councillors of the Municipal Council of Sudbury Faustine Mhagama he exchanged views with Chairman of the...
Google Translate
August 20, 2011
(image) Left is the Clerk of the House of Councillors of the Municipal Council of Songea Faustine Mhagama he exchanged views with Chairman of...
This translation refers to an older version of the source text.