About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/TAMA-Bukoba/topic/123268
: English
Base
English
Donation
(Not translated)
Edit
Salaam ndugu zangu wana Kagera na Watanzania kwa ujumla. – Kuanzia tarehe 2.7.2012, mkoa wa Kagera hasa Wilaya ya Biharamulo, wananchi wilayani humo wameanza kutoa maoni yao katika kata ya Kalenge na Movata katika Mchakato wa Katiba Mpya. Tume ya Mabadiliko ya Katiba itaendelea kukusanya maoni ya wana Kagera katika wilaya ya Ngara (6.7.2012), Karagwe (9.7.2012), Kyerwa (12.7.2012), Misenyi (16.7.2012), Bukoba DC (19-21/7/2012), Bukoba MC (22-25/7/2012) na Muleba (26-29/7/2012)....
(Not translated)
Edit
TOA MAONI: KATIBA TUITAKAYO TANZANIA
(Not translated)
Edit