MAMBO YA SOSEJI BWANA NJOMBE MPO JUU!!!
 |
Uroho wangu wa soseji bwana ulinitokea puani baada ya kukutana na soseji la kiti motoz!!!! nakwambia mbona nilitoka bila kuaga? eeeeeh nininiĀ |
 |
Kumbe zilikuwa mixed na za Ng\ombe lakini nikashindwa kuwa mvumilivu nikaishia kisa tu kit motoz mweeeeee |