Envaya
Indaba Africa
MAMBO YA SOSEJI BWANA NJOMBE MPO JUU!!!
MAMBO YA SOSEJI BWANA NJOMBE MPO JUU!!!
Uroho wangu wa soseji bwana ulinitokea puani baada ya kukutana na soseji la kiti motoz!!!! nakwambia mbona nilitoka bila kuaga? eeeeeh nininiĀ
Kumbe zilikuwa mixed na za Ng\ombe lakini nikashindwa kuwa mvumilivu nikaishia kisa tu kit motoz mweeeeee
7 Agosti, 2011 kupitia dtwevetz.blogspot.com
« Iliyotangulia
Ifuatayo »
Ongeza maoni
Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.