Envaya

Indaba Africa

Jamii Ya Wahadzabe

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Jamii Ya Wahadzabe

Mhadzabe%2BMaidona%2BWazaeli%2B%25281%25
Mhadzabe Bw. Maidona Wazaeli akiwa mbele ya nyumba yake.
Madarasa%2Bmawili%2Byaliyojengwa%2Bna%2B
Jengo moja lenye vyumba viwili vya madarasa ambalo halijakamilika kwa ajili ya wanafunzi wa chekechea, lililojengwa na kanisa la KKKT Dayosisi ya kati kwa gharama ya Sh.Milioni 25/=.

Nyumba%2Bya%2BMhadzabe.JPG
Nyumba ya Mhadzabe inavyoonekana baada ya kukamilika na watu kuishi ndani.
Mtoto%2B%2Bwa%2BKihadzabe%2B%25281%2529.
Picha ya mtoto wa Kihadzabe, kweli mtoto wa nyoka ni nyoka. Mtoto huyo anajifunza jinsi ya kutumia pinde na mshale hukohuko porini.
Mwandishi%2BAbby%2BNkungu%2Bakitoka%2Bnd
Mwandishi wa Habari Leo na Dailynews mkoa wa Singida Bw. Abby Nkungu akitoka ndani ya nyumba ya Mhadzabe.
Ufugaji%2Bnyuki%2Bwa%2Bkisasa%2B%25281%2

Ufugaji wa nyuki umeanza kuwa wa kisasa zaidi, badala ya ule wa kizamani.
Ndugu zetu Wahadzabe bado wanahitaji msaada ingawa jamii ya wafugaji inawaingilia katika makazi yao kwenye pori la Kipamba, wilayani Iramba,Singida.
« Previous Next »

Comments (1)

salim shamis (dar es salaam) said:
watanzania tuungane kwa pamoja kuisaidia jamii ya wahadzabe kuepukana na mila na tamaduni zilzopitwa na wakati.
February 5, 2012

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.