Envaya
tumetoa misaada kawa yatima,tumesha hamasisha jamii kwenda kupima ukimwi,tumesha wanunulia viaa mbali mbali watoto ambo hawakuwa na vyo na kupelekea kutoto kwenda shule na sasa wana hudhuria masomo kama kawaida.
Tumesha wasaidia wanaoishi na virusi vya ukimwi walio athirika kisaikorojia kuweza kujitambua na kuishi kwa ma tumaini na mikakati.
19 Mei, 2010
Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.