Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: Promotion of Education Link Organisation (PELO)
Time Submitted: 29 Januari, 2012 23:29 EAT
Msimbazi bondeni
Inahitajika nguvu ya pamoja kushinikiza serikali kumwondo Yule mfanyabiashara aliyezungusha ukuta eneo la Kigogo sambusa ili mvua za wakati mwingine,maji yake yasizuiliwe na ukuta yakarudia kuingia kwenye nyumba za watu na kusababisha mafuriko.
Nilikuwa na mwezi mmoja tu nikiwa nimehamia katika nyumba ya niliyokuwa nimepanga huku nikiwa nimelipa kodi ya mwaka mzima.Biashara yangu ni ya kubangaiza.Najiuliza nitatoa wapi tena kodi ya nyumba ambayo nimetumia muda mrefu kuitafuta kwa kujinyima.
Maisha ninayoishi ni kama ya ndege.Leo niko kwa huyu,kesho niko kwa Yule.Sina makazi.
Sielewi
Kabla ya mafuriko: Dak 45 Sasa: saa 1.45 hivi
(Hakuna jibu)
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti