Respondent: | Promotion of Education Link Organisation (PELO) |
---|---|
Time Submitted: | 29 Januari, 2012 23:23 EAT |
Msimbazi bondeni
Inahitajika nguvu ya pamoja kushinikiza serikali kumwondo Yule mfanyabiashara aliyezungusha ukuta eneo la Kigogo sambusa ili mvua za wakati mwingine,maji yake yasizuiliwe na ukuta yakarudia kuingia kwenye nyumba za watu na kusababisha mafuriko.
Naishi maisha ya shida na msamaria mwema mmoja.Amejitolea kunihifadhi katika kipindi hiki kigumu.Mke wangu anakaa kwa mama mmoja ambaye tunasali wote kanisa moja,wakati watoto nao wanaishi kwa ndugu.Ni kama familia imesambaratika.Inaniumiza sana.
Mafuriko yamenisababishia shinikizo la damu.Naanza maisha upya.Nitakosaje kufikiria?
Kuna baadhi ya nyumba nimeona toka mafuriko yatokee mabomba yake hayatoi maji,wakati kabla ya mafuriko zilikuwa zikitoa maji na tulikuwa tukienda kuchota hapo.
Kabla ya mafuriko: dakika 45 hivi | Sasa: saa 1.30 |
(Hakuna jibu)
« Rudi nyuma kwenye ripoti