Envaya

Envaya

Dar es Salaam Flooding Community Survey

Respondent: Promotion of Education Link Organisation (PELO)
Time Submitted: January 29, 2012 at 11:29 PM EAT
Msimbazi bondeni
Inahitajika nguvu ya pamoja kushinikiza serikali kumwondo Yule mfanyabiashara aliyezungusha ukuta eneo la Kigogo sambusa ili mvua za wakati mwingine,maji yake yasizuiliwe na ukuta yakarudia kuingia kwenye nyumba za watu na kusababisha mafuriko.
Nilikuwa na mwezi mmoja tu nikiwa nimehamia katika nyumba ya niliyokuwa nimepanga huku nikiwa nimelipa kodi ya mwaka mzima.Biashara yangu ni ya kubangaiza.Najiuliza nitatoa wapi tena kodi ya nyumba ambayo nimetumia muda mrefu kuitafuta kwa kujinyima.
Maisha ninayoishi ni kama ya ndege.Leo niko kwa huyu,kesho niko kwa Yule.Sina makazi.
Sielewi
Before flooding: Dak 45 Now: saa 1.45 hivi
(No Response)
« Previous responseNext response »

« Back to report