Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: Promotion of Education Link Organisation (PELO)
Time Submitted: 29 Januari, 2012 22:57 EAT
Mtaa:Msimbazi bondeni
Inahitajika nguvu ya pamoja kushinikiza serikali kumwondo Yule mfanyabiashara aliyezungusha ukuta eneo la Kigogo sambusa ili mvua za wakati mwingine,maji yake yasizuiliwe na ukuta yakarudia kuingia kwenye nyumba za watu na kusababisha mafuriko.
vitu vyangu vilivyookolewa vingi havifai,vimelowa na maji.Vingine vilisombwa na maji pamoja na mtaji wangu wa vitumbua.
Nafikiria kurudi kijijini maana maisha ya Dar es salaam sitayaweza.Labda nipate mtu wa kunisaidia kodi ya nyumba walau miezi sita na mtaji wa biashara ndogo ndogo nilizokuwa nikifanya.
Sijui maana nipo eneo hili lakini akili yangu haipo tena eneo hili.
Kabla ya mafuriko: (Hakuna jibu)Sasa: (Hakuna jibu)
(Hakuna jibu)
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti