Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: Promotion of Education Link Organisation (PELO)
Time Submitted: 29 Januari, 2012 23:02 EAT
Mtaa:Msimbazi bondeni
Inahitajika nguvu ya pamoja kushinikiza serikali kumwondo Yule mfanyabiashara aliyezungusha ukuta eneo la Kigogo sambusa ili mvua za wakati mwingine,maji yake yasizuiliwe na ukuta yakarudia kuingia kwenye nyumba za watu na kusababisha mafuriko.
Hata vitu vyangu vichache vilivyokuwa vimebaki bila kuchukuliwa na maji,vibaka walivunja nyumba na kuiba.Nimebaki hivihivi.
Kazi ninayofanya ni ya kibarua.Mshahara wake ni mdogo sana.Sidhani kama nitarudi tena kwenye kiwango cha maisha niliyokuwa nayo.Ni umaskini wa ghafla.
Jaribu kuuliza kwa wale ambao nyumba zao hazikuathiriwa na mafuriko.Wao wanaweza kukueleza habari za vyanzo vya maji.Mimi nafikiria nitaenda wapi serikali ikija kuvunja nyumba hizi.
Kabla ya mafuriko: (Hakuna jibu)Sasa: (Hakuna jibu)
(Hakuna jibu)
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti