Respondent: | Counselling and Family Life Organization (CAFLO) |
---|---|
Time Submitted: | 28 Mutarama, 2012 at 10:52 EAT |
Miembeni, Vingunguti
Maji safi, miundo mbinu mizuri, elimu ya afya na utunzaji wa mazingira.
Mafuriko yaliyotokea yameongeza ugumu wa maisha kutokana na kwamba mali nyingi zimepotea kutokana na mafuriko, kwa mfano mimi nimepoteza vyombo vya ndani, vyakula (maharage, unga, mchele), mifugo (kuku) vyote vilisombwa na mafuriko.
Kusema kweli mafuriko haya yamenirudisha nyuma kimaendeleo kutokana na kwamba nimepoteza viti vingi sana kama ambavyo nimeshaeleza. Kwa hiyo kiwango cha umasikini kwa sasa kimeongezeka.
Huduma ya maji baada ya mafuriko limekuwa na changamoto nyingi kutokana na uharibifu wa miundo mbinu kwa maana kwamba watu wa mtaa huu walikuwa wanategemea zaidi maji ya visima, lakini baada ya mafuriko hayo visima vingi vimeharibika ambapo vilivyokuwa na matenki baadhi ya matenki hayo yaling`olewa na mafuriko.
Before flooding: dakika 30 | Now: dakika 30 |
(No Response)
« Back to report