Respondent: | Africa Upendo Group |
---|---|
Time Submitted: | 14 Mutarama, 2012 at 14:24 EAT |
Mtaa wa Mwongozo Makuburi wilaya ya kinondoni
Makazi ya kuishi,Fedha,Chakula,Miundo mbinu na maji safi
mafuriko yamevunja ukuta wa nyumba na kuharibu kabisa vitu vyote vya ndani
sina mahali pa kuishi na pia naishi kwa wasiwasi mkubwa kwani serikali haijatuambia nini cha kufanya na hatujui tufanyeje kwani wamesema tusubiri kwanza.Nimeadhirika kiakili pia.
ni ya kijani na haifai kwa matumizi ya mwanadamu
Before flooding: (No Response) | Now: (No Response) |
« Back to report