Respondent: | Tanzania Women of Action(Tawa) |
---|---|
Time Submitted: | 31 Januari, 2012 19:33 EAT |
Keko mwanga B
kusafisha na kutengeneza mitaro midogo midogo itakayo tiririsha maji kwenye mfreji mkubwa ,kuta zilizojengwa holela na kuziba maji zibomolewe ,mfereji mkubwa ukarabatiwe ili usaidie maji kupita kwa urahisi, tupatiwe vifusi vya kuinua maeneo yetu
ukuta wa nyumba kubomoka,vifaa vyote vya ndani ,vitanda 2,kabati 1, vifaa vya kuhifadhia maji, Radio, tv. nguo zote za famila yangu yenye watu 6, kamera yangu ya digital ambayo ndio ofisi i yangu kupotea ikiwa na picha za wateja,picha za wateja za harusi zenye thamani ya laki tatu kuharibika,raptop 1 nayo kupotea
kupoteza ofisi au kaza ,kuleta madeni,ambayo yamenifanya nikose mwelekeo wa maisha ,kuanza upya maisha ,magonjwa ya mlipuko hasa kwa watoto kwa kuchezea maji machafu.maralia isiyopona tangu mafuriko yatokee mpaka leo
siku zote natumia maji ya bomba kutoka keko juu lakini kwa wenye visima havifai tena kwani si rahisi kutofautisha maji safi na taka
Kabla ya mafuriko: sikuwa na muda maalum kazi ya picha ni ya kuzunguka | Sasa: sina muda maalum kotokana na kudandia kazi za picha kwa wenzangu ili nipate kula ya wtoto |
(Hakuna jibu)
« Rudi nyuma kwenye ripoti