Naibu waziri wa Maendeleo ya Jamii, jinsia na Watoto(kushoto) mh.Pindi Chana akiwa katika mkutano Mkuu wa Baraza la Watoto wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mjini Morogoro anayefuata ni Ummy Jamaly Mwenyekiti wa Baraza la watoto Taifa.
March 12, 2014