Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

habari ndugu maskauti na wapenzi wa blog hii salam na pongezi kwa Uongozi wa CHUCHU FM kutusapoti katika kuendesha harakati za Skauti hapa ZANZIBAR kwa kurusha kipindi Maaalum katika kituo chenu cha Redio AHSANTE

UONGOZI WA CHUCHU FM
MULHAT DORCE KWA USHIRIKIANO WENU MZURI MULIOTUPA KATIKA SIKU HII YA LEO YA 22/2/2014 SIKU YA MUNZILISHI WA SKAUTI DUNIANI

NISIKU AMBAYO SKAUTI WETU WALIAZIMISHA KWA KAMBI NA KUTEMBELEA MAKUMBUSHO

February 22, 2014
« Previous Next »

Comments (1)

IBRAHIM MBAROUK (PEMBA) said:
Mchango wangu ni huu:baada ya uchunguzi usio rasmi nimegundua kuwa vijana wengi hukata taama kwa mambo yakiwemo haya;
Kutothaminiwa juhudi zao za kujitolea.
2.kuona scout ni kazi bure isiyo na faida yoyote wala haioneshi maslahi kwao
USHAURI:Serikali iweke kiwango japo kidogo cha kuwatia hamasa wanachama wa scout ili ujione kuwa wanajaliwa.hata kama ni kazi ya kujitolea tu.
January 4, 2020

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.