Injira
White Orange Youth

White Orange Youth

Moshi, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

Participants listing during the workshop session Thursday 15 March 2012

large.jpg

During the PSS training participants engaging in eggs role play

large.jpg

PSS Participants during the eggs play

Pss training for care givers on going (Wednesday 14th to Monday 20th March 2012 at the YWCA Moshi

White Orange Youth from support of Child reach international is conducting is running a 6 days training for people working with vulnerable children in three poorer Wards of Moshi named Pasua, Njoro and Majengo. The goal of training is to equip people working with children with vulnerability and orphans a means of skills on psychosocial support and care. After train participants will be able to address children needs especial as spiritual, emotional and Psychological. Children will be able to manage their grief, mourn and stress.   30(20 Female) participants are invited to participate in to this workshop and all come either from nongovernmental organization working with Children or from local government departments that focus in children’s matters. 

White Orange Youth News

The White Orange Youth organization in Moshi is currently working to implement a new program which will provide psychosocial support and care to vulnerable children in the Kilimanjaro Region.For this project will be specific to Moshi rural in the villages that found in the slop of the mountain. These villages are Okaoni- Kibosho, Kahe, Mabogini and Marangu (Kilema south) areas. The project will work to support each child’s social, spiritual, emotional, physical and mental needs. Intervention will include support for vulnerable children and orphans, advocacy for mainstreaming psychosocial support and care into the district’s policies, provision of counseling and referrals to vulnerable children, networking and creating children platforms. Both counselors and peers will be an essential component of this program. White Orange Youth will train caregivers in their respective communities to provide psychosocial support and to help these children cope with their problems. WOY staff will also train peers so they can create a support network and meet independently to discuss problems and participate in group activities. This program will not only provide psychosocial support to vulnerable children but also raise awareness of child protection rights through activities and events held in the community. This project funded by the foundation for civil society (FCS)

large.jpg

AIDS awareness activities

large.jpg

The World social forum in Nairobi

Some of White Orange Youth members participated in the general election as local election obseveron Sunday 31st 2010

Taarifa ya mafunzo ya stadi za maisha na uongozi yaliyotolewa kwa VSI katika ukumbi wa ofisi ya WOY Moshi
Utangulizi
Kwa msaada kutoka SATF White Orange Youth wanatekeleza mradi unaitwa ‘Vijana Simam Imara’ Mradi huu umeanzishwa kwa kujifunza mafanikio ya mfano kwa shirika la Humuliza linalopatikana kanda ya ziwa Victoria. Shughuli ambazo WOY wanafanya katika mradi huu ni pamoja na kuwafundisha vijana elimu ya uongozi na stadi za maisha Katika mwezi wa Mei WOY ilifanya mafunzo ya Stadi za maisha na Uongozi kwa VSI. Mafunzo haya yalifanyika kwa muda wa siku tatu ambapo jumla ya watoto 26 waliudhuria. Mafunzo haya yalifanyika katika ofisi za WOY zilizopo majengo.

Malengo ya Mafunzo
Washiriki wa mafunzo haya walielezwa kuwa baada ya mafunzo wataweza kufahamu yafuatayo:
• Kueleza maana ya stadi za maisha
• Kuorodhesha mahitaji ya stadi ya stadi za maisha kufuatana na maarifa, mitazamo na vitendo
• Kufafanua aina za stadi za maisha
• Kutambua umuhimu wa stadi za maisha
Mwezashaji alielezea kwamba stadi za maisha ni uwezo wa kutumia maarifa na ujuzi, vitendo, mitazamo, na tabia zinazomweka mtu katika katika hali ya maisha ya siku ili kuweza kumudu mazingira mbalimbali yanayomkabili. Mwezeshaji pia alielezea pia kuhusu mahitaji ya stadi za maisha katika maarifa, vitendo na mikazo kama ifuatavyo
Maarifa
-Vyanzo vya ushauri na taarifa za kisheria
-Vyanzo vya huduma na elimu ya afya
-Haki ya na majukumu ya binaadamu
-Aina ya mahusiano kati ya familia na na wanarika
-Maisha na afya bora
-Mabadiiko na makuzi ya binaadamu
-Usawa wa kijinsia
-Mahusiano ya mitindo ya maisha
-Mahitaji binafsi
Mitizamo
-Kujitambua
-Ustaimilivu
-Kuheshimu mwenendo wa kisheria
-Kujiheshimu
-Kuwajibika
-Kujiamini
-Uvumilivu
-Kuthaminin mawazo na hisia za wengine
- Kujali
Vitendo
Kuweka maengo na kutekeleza mipango
Kutafuta msaada
Kumudu kwa ufanisi na ukakakmavu wa mazingira mapya
Kutoa na kutekeleza maamuzi
Uwezo wa kuwasialiana
Kutenda kwa busara

Makundi ya stadi za maisha yalifafanuliwa kama ifuatavyo
1. Stadi za kujitambua binafsi: Ilielezewa kuwa kijana anaitajika kujitambua, kujifahama, kujithamini na kujiamini
2. Sati za kufahamana kukuwezesha kuishi nawatu wengine: Kuhusiana na stadi hii, ilielezewa kuwa mahusiano mazuri baina ya mtu mmoja na mwingine ni muhimu, pia ushirikeli, ushupavu, uwezo wa kustahimi;I shinnikizo , msongo na mhemuko, pia mawasiliano yenye ufanisi baina ya vijana ni jambo muhimu maishani.
Kujitambua na kujifahamu
Ilielezewa kuwa huu ni uwezo wa kujielewa mwenyewe yakwamba inahusisha kutambua uwezo wa hisia zako, tabia na mwenendo, mihemko kufuatana na mahali unapotoka, mila, desturi pia mabo usiyotegemea kuyafanya maishani mwako.
Maswali ya kujiuliza
1 Mimi ni nani?
2 Ni vitu gani ninavyothamini?
3 Jamii inategemea nini kutoka kwangu?

Mwezeshaji aliwaeleza washiriki faida za kujitambua kama ifuatavyo
1 Kujiwekea malengo
2 Kujikinga katika matatizo mbalimbali kwa mfano, kukamatwa kwa wiai, kupata mimba za utotoni, kuambukizwa virusi vya ukimwi nk
3. Kukubalika na kueshimika
4. Kuondoa matatizo kwa kumwelewa mtu
5. Kujiweka katika mweekeo mzuri wa maisha
Kujithamini na kujiamini
Ilielezwa kuwa hizi ni hisia za binafsi, kuwa na uhakika na kujiwekea au kujionyesha kwa watu wengine katika kufanya kitu bora kikaeshimika na kupendwa. Pia hii inatokana na mtu mwenyewe anavyojiona, uwezo wake, malengo yake, mwenendo wake na mafanikio yake kwa ujumla. Katika stadi hii mwezeshaji alielezea faida zake kama ifuatavyo
1 inawezesha kufanya maamuzi ya busara kuhusu afya yako
2 Vijana lazima wawe na uwezo wa kuweza kujibu maswali wao binafsi kuingana na wanachofikiria ni kizuri kwao
3 Vijan watakuwa nauwezo wa kusema HAPANA kwani huonyesha ni jinsi gani anavyojiamini
. kukataa jambo ambalo alitaki mbele ya wenzake na hayupo tayari kufuata mikumbu. Vilevile kuheshimu uamuzi wa mtu aliyesema hapana inaonyesha anajali nafsi yake.
Stadi za kufahamu na kuishi na wengine
Mahusiano
Iielezewa kuwa huu ni uwezo wa kukutana na kufaamiana na watu wengine na watu wengine katika makusanyiko tofauti na watu wengine katika jamii, shueni , michezonin na mahali pa kazi. Ilielezewa pia watu wanaweza kukubaliana kutokana na mtazamo au mienendo inayofanana.
Hatari za mahusiano ya kijinsia kati vijana wa kiume
Ufafanuzi ulitolewa kuwa mahali penye wavulana na wasichana lazima kuna mahusiano na yanaweza kupelekea kwenye urafiki wa kawaida au wakimapenzi ambapo uhusianao wa kimapenzi unaweza kusababisha yafuatayo
1 Mimba zisizotarajiwa
2 Utowaji wa mimba
3 magonjwa yatokanayo na kujamiiana na UKIMWI
Vijana wanapaswa kujihadhari na kujiaandaa kutatua matataizo yao Uhusiano wa kimapenzi hauwezi kuwepo bila mapenzi Lakini watu wanaweza kupendana bila kujamiana
Ushirikeli
- Ni mahusiano katika kukuza, kujali na kuwa makini katika matakwa binafsi
- Ni uwezo wa kujiweka katika hisia za watu wengine
- Stadi hii inatusaidia katika kukuza mahusiano ya kuishai pamoja kwa furaha kadhalika kukubali jambo bila kuwa na uzoefu nao
Kustahimili Shinikizo
-Ilielezewa kuwa huu ni uwezo wa kuwa na msimamo wa kuwa na amani, imani na mitizamo binafsi, uwezo wa kukataa au kukubai shinikizo rika
- Inahitaji ushupavu na ujasiri kwani unaweza kuhatarisha mahusiana mahusiano na wanarika wengine
- Stadi za kuweza kukataa na kusisitiza ni muhimu sana kwa vijana

Kustahimili Mihemuko
Ilielezewa kwamba huu ni uwezo wa kustahimili mhemuko kutokana na hasira, mshtuko, penzi na mchomo wa mojo unaogusa hisia. Hali hizi zinadhuru mwenendo na tabia na zinaweza kusababisha matendo yasiyotabirika na yakusikitisha.
Hisia zinazojionyeshakatika mhemuko
- Huzuni, hasira, Hofu, shauhuku, mkanganyiko upendo, Hisia kali, maumivu , maudhi , majonzi, majuto, wivu, furaha, kicheko.
Kustahimili msongo
Mwezeshaji alielezea kuwa msongo ni yale mabo mengi yanayotuandama katika maisha yetu kwa mfano shinikizo la kazi, kifo cha rafiki, kunyimwa haki, kukataliwa na mchumba -kulaumiwa kila wakati, nk
Huu unaweza kuathiri mwenendo na tabia na unaweza ukawa ni chanzo cha uharibifu na ghasia kwa kufanya maamuzi mabaya kama ulezi na nk.
Stadi za mawasiliano
Ilielezewa kwamba kuwasiana ni jambo muhimu katika kuelewanana na kwamba uwezi kufikia malengo yako kama hauna mbinu za kuwasiliana unaweza usieleweke. Unapomweleza mtu jambo au unapomjibu mtu jambo aelewe nachokusudia. Hata akuelewe unavyotaka akuelewe. Kutokueleweka kunaweza kukuingiza kwenye janga.
Kufanya uamuzi sahii
-Ni uwezo wa kutoa uamuzi au kuchangia lilio bora katika uchaguzi kadhaa zilizopata kufikiriwa kwa makini na kwa ubunifu
-Uamuzi sahii ni ule unaoweza kutekeleza na usio na madhara katika maisha
Umuhimu wa stadi za maisha.
Ilielezewa kuwa inakuza mienendo na tabia njema kama, tabia ya uwajibikaji katika mapenzi zinapunguza ugomvi.
- Zinaongeza uhusiano kati ya vijana na watu wazima
Athari za kutotumia stadi za maisha
-Ni rahisi kijitumbukiza katika tabia mbaya za kujamiana
-Kujiingiza katika tabia zisizo na maendeleo
-Inaongeza matatizo ya afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana
Baada a uwasilishaji wa masomo hayo VSI walipewa fursa ya kuuliza maswali kuhusiana na waliyofundishwa na maswali yote yalijibiwa na VSIi waliahidi kujafanyia kazi waiyofundishwa.
Orodha ya Wawezeshaji
Mafunzo haya yaliendeshwa na wawezeshaji wafuatao
Upendo Person
Gamalieli Mbalase
John Kessy
Orodha ya washiriki
1. Mwanahawa M Shayo
2. Mwajuma Bakari
3. Mariamu juma
4. Halima Hashimu
5. Zainabuu Hashimu
6. Magreth Robinson
7. Aviti Mustafa
8. Anjiti Mustafa
9. Niteshi Mustafa
10. Rashidi Issa.
11. Deo Frank
12. Japhet Yohana
13. Stivin Dobald
14. Merry stephano
15. Josephine JAMES
16. John Godfrey
17. Athumani Gabon
18. Mapinduzi Ally
19. Bakari hasani
20. Hamza Mudy
21. Lydia Joseph
22. Elizabeth Gasper
23. Amani Raphael
24. Swahumu Isa
25. Merry Stephano
26. Lillian Alex