Envaya
Wakihabima sasa imepata usajili rasmi toka wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto. Hii ni baada ya juhudi za uongozi na wanachama. Aidha msaada mkubwa wa ushauri toka kwa mratibu wa mashirika wa halmashauri ya mji Masasi, na usaidizi mkubwa toka LHRC dawati la wasaidizi wa kisheria na ofisi kuu vimewezesha zoezi hilo kufanikiwa. Shukrani nyingi ziende kwa kila mmoja.
December 25, 2015
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.