Envaya

TWEYAMBE YOUTH DEVELOPMENT

KIKUKWE,BUKOBA ,KAGERA, Tanzania

kuifanya KANYIGO kuwa mahali salama kwa wanajamii kufanya kazi za kujiajili bila kuisubiri selikari.Jamii  itambue wajibu wake kwa kuakikisha kila mmoja anatekeleza wajibu wake bila shuruti.KWA PAMOJA TUNAWEZA

Mabadiliko Mapya
TWEYAMBE YOUTH DEVELOPMENT imeumba ukurasa wa Jitolee.
2 Mei, 2012
TWEYAMBE YOUTH DEVELOPMENT imeongeza AFRICAN STUDENTS GOODHEART SOCIETY kwenye orodha yake ya Mashirika ya Ubia.
23 Aprili, 2012
TWEYAMBE YOUTH DEVELOPMENT imeongeza Habari.
TUNAKARIBISHA WANACHAMA WAPYA – TYD ,inayofuraha kutoa taarifa kwa vijana wote kujiunga na asasi hii ili kuweza kuboresha maisha ya kila mtanzania na jamii nzima kwa ujumla kama unataka kujiunga wasiliana nasi kwa anuani iliyoko katika tovuti hii.asante na wote mnakaribishwa. – NB:wanaotaka... Soma zaidi
22 Aprili, 2012
TWEYAMBE YOUTH DEVELOPMENT imeumba sehemu ya DARASA.
22 Aprili, 2012
Sekta
Sehemu
BUKOBA ,KAGERA, Kagera, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
EVENTS

edward lowasa ndani ya Tunduma

Kila jambo lina wakati wake huyu mweshimiwa anasaidia sana jamii ila sijui malengo yake ni nini ila naamini anafanya kwa manufaa ya taifa na sio vinginevyo ,tatizo jamaa walimuwaisha kumchomoa mjengoni sijui kama angeyafanya yote haya angekuwa babo na kale kanafasi


DARASA

 TAARIFA YA CAG

Ninaamini kwa kila aliye mtanzania mzalendo taarifa hii inamuhusu ,maoni yangu juu ya nini kifanyike ni kuwa kila aliyehusika na ubadhilifu huu achukuliwe hatua ,maana tunaweza kutaka mawaziri wajiuzuru nao wakafanya kama tulivyotaka ,lakini je ndo tuishie hapo ?mimi nadhani kuna haja ya kurudi nyuma na kuangalia watendaji nao wanafanya nini ,mfano wakuu wa idara,wakuu wa vyuo vilivyotajwa ili tuweze kurudisha pesa za umma ili zikafanye kilichokusudiwa na wapangaji wa maendeleo ya nchi yetu ya maziwa na asali,toa maonin yako na wewe nini tufanye ili tuweze kunusuru nchi dhidi ya wanyanganyi hawa maana hawana tofauti na majangiri au wauaji