Ndugu wadau pamoja na wana asasi wote natumaini wote hamjambo pamoja nakuwa wote tuko ndani ya chombo kimoja au boti moja nia na madhumuni nikupata ulimengu wenye usawa na haki maridhawa amani na utulivu.Pamoja nakuwa ndani ya chombo kimoja lakini milango ya kutokea ni tofauti sisi wenzenu wana TUNAWEZA WOMEN GROUP tume azimia kutoa chagamoto kwa wanafunzi wa shule za msingi hapa nchini tukianzia na manispaa ya ilala
Changa moto yenyewe ni kwamba tuna azimia kutoa zawadi kwa wanafunzi watakao fanya vizuri katika mitihani yao ya kila mwisho wa muhula tumekusudia kutoa zawadi kwa wanafunzi watakao shika nafasi ya kwnza mpaka nafasi ya kumi tunatarajia zawadi hizi zitaongeza nguvu najuhudi ya kujisomea kwa wanafunzi kuanzia madarasa ya chini.
Hivyo basi ilikufanikisha zoezi hili tunawaomba wadau wote mtusaide michango yenu ili kusudio letu litimie tunapokea michango ya pesa au vifaa vya shule
Natanguliza shukran kwenu naomba ushirikiano kwa mawasiliano
A.Mtambalike
k.n mwenye kiti
0784 399400