Envaya

Ndugu  wadau pamoja na wana asasi wote natumaini wote hamjambo pamoja nakuwa wote tuko ndani ya chombo kimoja au boti moja nia na madhumuni nikupata ulimengu wenye usawa na haki maridhawa  amani na utulivu.Pamoja nakuwa ndani ya chombo kimoja lakini milango ya kutokea ni tofauti sisi wenzenu wana TUNAWEZA WOMEN GROUP tume azimia kutoa chagamoto kwa  wanafunzi wa shule za msingi hapa nchini tukianzia na manispaa ya ilala

Changa moto yenyewe ni kwamba tuna azimia kutoa zawadi kwa wanafunzi watakao fanya vizuri katika mitihani yao ya kila mwisho wa muhula tumekusudia kutoa zawadi kwa wanafunzi watakao shika nafasi ya kwnza mpaka nafasi ya kumi tunatarajia zawadi hizi zitaongeza nguvu najuhudi ya kujisomea kwa wanafunzi kuanzia madarasa ya chini.

Hivyo basi ilikufanikisha zoezi hili tunawaomba wadau wote mtusaide michango yenu ili kusudio letu litimie tunapokea michango ya pesa au vifaa vya shule 

Natanguliza shukran kwenu naomba ushirikiano kwa mawasiliano

A.Mtambalike

k.n mwenye kiti

0784 399400

 

30 Mei, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.