Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Shughuri yetu kubwa ni kutetea haki za wanawake na watoto, hususani usuluhishi wa migogolo. Changamoto kubwa tuliyo nayo ni kwamba kipindi cha kuanzia mwishoni mwa mwaka 2011 hadi sasa, migogoro ya ndoa imekuwa mingi mno. Familia hazina amani, watoto wanahathirika kisaikolojia. Je wenzangu ;mnafikiri tatizo hasa ni nini?
April 8, 2012
Comments (1)