Envaya

Translations: Kiswahili (sw): Interface Text

BaseKiswahili
Edit commentHariri maoniEdit
AddOngezaEdit
User since(Not translated)Edit
Messages from {scope}(Not translated)Edit
AllZoteEdit
All countriesNchi zoteEdit
CountryNchiEdit
We are sorry. This account was not approved by our administrators.Samahani. Shirika hili halikukubaliwa na wasimamizi wetu.
(This translation refers to an older version of the source text.)
Edit
Mobile+255.769 62 16 30 , 0757 26 07 09 , 0769 4400.223Edit
Add contact informationCSM Box 370,kayanga karagwe,email,john.mulokozi@gmail.com , jmulokozi2000@yahoo.com,Mob.+255(0) 769 62 16 30Edit
Add your team membersCSM lina waratibu wakuu wapatao 6.Karagwe kuna MR&Mrs Jonathan Mulokozi, jackson kamkoto,H.Ng'oma, na Huko Arusha, Kuna, Rev, Viany kamili, na Rev, Peter paul, nEdit
Write about your projectsCSM ni NGO ambayo ina mradi mkubwa wa uzalishaji na uboleshaji wa zao la Kahawa hususani aina ya Arabica, na Tuna malengo ya Kuanzisha Kituo kikubwa cha watoto yatima.CSM lina mkakati wa kutoa elimu kwa wajasilia mali, na Usindikaji wa mazao yatokanayo na Kilimo.CSM limeanzisha mradi wa ufugaji samaki katika kijiji cha Kishojo, Wilayani karagwe,kagera tanzania kwa kushirikana na Halmashauri ya wilaya ya karagwe. CSM tangu mwaka 2002 tulianza kutoa elimu, na Vitendea kazi kwa taaluma ya Ufundi...Edit
Share your latest newsTunahitaji kufanya na wataalam waliosomea mambo ya Kilimo na mifugo katika mradi wetu wa Q. Coffee production hapa wilayani karagweEdit
Describe your partnershipsCSM linaubia na marafiki wa Uk,USA, na watendaji wa Serikali, na Watumishi wa Mungu ndani na nje ya nchi.Edit
Write about your historyCSM ilizaliwa mwaka katika Wilaya ya karagwe mkoani kagera,Tanzania mnamo mwaka 2002, na kusajiliwa rasmi mwaka 2010.CSM lilianzishwa na MR&Mrs Jonathan Mulokozi, ambao wito wao mkubwa ulikuwa ni kuwasaidia watu wasiojiweza ktk nyanja mbalimbali.Edit