Injira

Ubusobanuro: Kiswahili (sw): User Content: WI0006FC1E87B98000000457:content

« Inyuma   ·   Ahakurikira »
Base (Icyongereza) Kiswahili

Joshua Stern Executive Director

Joshua Stern After graduating from Stanford with a degree in computer science, Joshua Stern served as a Peace Corps volunteer in Tanzania, where he worked to build computer infrastructure and provide fundamental ICT education to the communities in his region. Joshua co-founded Envaya in 2010 with the mission to build and deploy a software platform that provides "the last mile" of connection between grassroots activists and the larger development sector. The Envaya platform has become the largest online network of civil society organizations in East Africa, and Envaya's supporters include Google, Twaweza, The Digital Opportunity Trust, The Peace Corps, and the Trust for Conservation Innovation. Joshua and Envaya serve as advisors to the Tanzanian Commission for Science and Technology's technology entrepreneurship incubator. Joshua is fluent in Swahili, and has extensive media, development, and governmental contacts throughout East Africa.

Jesse Young Chief Technology Officer

Jesse Young Envaya’s software development team is led by co-founder and CTO Jesse Young. Jesse is a software engineer who was previously the chief engineer and co-founder of the internet startup Apture, which was acquired by Google. In 2009, he was profiled by Inc. Magazine as one of the "30 Under 30" coolest young entrepreneurs. Jesse has a Masters' degree in Computer Science from Stanford University, where he coordinated a team of teaching assistants for the introductory programming courses.

Radhina Kipozi East Africa Director

Radhina Kipozi Radhina Kipozi is one of the East Africa's leading young social entrepreneurs. Radhina began her media career as a popular singer, currently works as an investigative journalist, and helps advise one of Tanzania's most progressive civil society organizations, JEAN Media. As Envaya co-founder and East Africa Director, she leads Envaya's regional operations, runs Envaya's Africa HQ in Dar es Salaam, helps manage relationships with large strategic partners, provides training and support for Envaya's users, and tirelessly promotes Envaya across the region. Radhina is fluent in Kiswahili and English, and speaks Japanese.

Lilian Matari East Africa Program Associate

Asia R. Kilambwanda Lilian Matari is passionate about social change and development in Africa. As Envaya's East Africa Program Associate, she helps coordinate Envaya's regional program and operations and works to ensure that Envaya's technology and services continually improve and address the needs of our users and partners. Before joining Envaya, she received a BA in International Relations and Development Studies from the University of Sussex, and worked for the UNESCO National Commission of Tanzania. Lilian is fluent in Kiswahili, French, and English.

Maryam Kazerooni Lead Designer

Maryam Kazerooni An internationally acclaimed professional artist and designer, Maryam Kazerooni works to ensure Envaya's design is both simple and engaging.  She is also lead designer for the reforestation NGO Community Forests International. Originally from Iran, Maryam now lives and works in San Francisco, and her portfolio is online at http://maryamkazerooni.com/.

Ramadhan Mgaya Tanzania Field Coordinator

Ramadhan Mgaya As a field coordinator in Tanzania, Ramadhan Mgaya provides ongoing support for the grassroots organizations that use Envaya, and helps run our conferences and capacity building workshops with civil society organizations across the country. His previous experience includes fieldwork with the Tanzanian NGO JEAN Media and work as an independent journalist.

Anthony Walton Media and Communications Associate

Anthony Walton has written about social justice issues for publications ranging from The New York Times to Harpers and the Oxford American. His 1999 Atlantic Monthly essay “Technology versus African Americans” was one of the first to note the importance of bridging the digital divide in the United States and the wider world. With extensive experience in journalism, publishing, and film, he works to help Envaya explain its goals and purposes in the interest of expanding its reach to the populations who can most benefit from it. He teaches at Bowdoin College.

Hussein Hassan Tanzania Program Assistant

Hussein Hassan Hussein Hassan provides training and support to grassroots CSOs, and works with the Envaya team to ensure that our programs and services truly respond to the needs of users. Hussein has a degree in Wildlife Science and Conservation from the University of Dar es Salaam. Before Envaya, he worked at the Ilala Municipal Council and then at the Tanzania Forest Conservation Group.

Ismail Muhija Tanzania ICT Specialist

Ismail Muhija Ismail Muhija works to ensure Envaya's Tanzania operation has its ICT support needs reliably met. With a Tanzanian degree in Information Technology and experience working at major telecom Zantel, Ismail has a thorough understanding of ICT in Tanzania.

 

Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji

Joshua Stern Baada ya kupata shahada yake ya sayansi ya kompyuta kutoka chuo cha Stanford, Joshua Stern alienda kujitolea Peace Corps Tanzania ambapo alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya teknolojia ya habari na mawasiliano yaani ICT. Joshua alianzisha shirika hili mwaka 2010 kwa lengo la kujenga jukwaa ya programu inayowezesha uhusiano kati ya wanaharakati wa ngazi ya chini na wakubwa kwenye sekta ya maendeleo. Programu ya Envaya imekuwa ni daraja kuu katika Afrika mashariki linalounganisha mashirika ya kiraia. Wadhamini wa Envaya ni pamoja na Google, Twaweza,Digital Opportunity Trust, Peace Corps, na Trust and Conservation Innovation. Joshua na Envaya wanatumika kama washauri kwa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia Tanzania kwenye Incubator ya ujasiriamali. Joshua anaongea kiswahili, na ana mahusiano mengi na vyombo vya habari, mashirika ya maendeleo, na ya kiserikali katika Afrika Mashariki.

Jesse Young Afisa Mkuu wa Teknolojia 

Jesse YoungTimu ya Programu ya Envaya inaongozwa na Jesse Young, ambaye ni mwanzilishi mwenza wa Envaya. Jesse ni mhandisi wa programu ambaye hapo awali alikuwa mhandisi mkuu na mwanzilishi wa mtandao unaoitwa startup Apture, iliyonunuliwa na Google Mwaka 2009. Jesse alitambuliwa na Inc Magazine kama mmoja wa vijana wajasiriamali 30 wenye mafanikio na wenyeumri chini ya miaka 30. Jesse ana shahada ya uzamili katika Sayansi ya Kompyuta kutoka Chuo Kikuu cha Stanford, ambapo alijenga timu ya walimu wasaidizi kwa ajili ya kozi ya programu.

Radhina Kipozi  Meneja mradi wa Afrika Mashariki

Radhina Kipozi Radhina Kipozi ni mmojawapo wa wajasiriamali wadogo kwenye mambo ya kijamii katika ukanda wa Afrika Mashariki. Radhina alianza kujishughurisha na vyombo vya habari kama mwimbaji maarufu, kwa sasa anafanya kazi kama mwandishi wa habari za uchunguzi, na anasaidia kushauri mashirika ya kiraia ya kimaendeleo Tanzania mfano Jean Media . Kama mmoja wa waanzilishi wa Envaya na Meneja wa Programu hii katika ukanda wa Afrika Mashariki,anasimamia shughuri zote za uendeshaji wa Envaya kikanda, pia anaendesha ofisi ya makao makuu ya Envaya jijini Dar es Salaam. Hutoa mafunzo na msaada kwa ajili ya watumiaji wa Envaya, na bila kuchoka kuitangaza Envaya katika Afrika. Radhina anaongea Kiswahili na Kiingereza kwa ufasaha, pia anaongea lugha ya  kijapani.

Anthony Walton Mkurugenzi wa Vyombo vya Habari na Mawasiliano 

Anthony Walton ameandika mambo mengi kuhusu masuala ya haki za kijamii katika  machapisho kuanzia New York Times mpaka Harpers na The Oxford American. Repoti yake ya mwaka 1999 kwenye gazeti ya Atlantic Monthly inayoitwa"Teknolojia dhidi ya Wamarekani Wa Afrika" ilikuwa moja ya kazi iliyotambua umuhimu wa kuziba pengo la maendeleo ya dijitali nchini Marekani na dunia nzima. Pamoja na uzoefu mkubwa katika uandishi wa habari, filamu, anafanya kazi ya kusaidia Envaya kueleza malengo yake na madhumuni kwa lengo la kupanua kazi hizi ili ziwafikie wale ambao wanaweza kunufaika na kazi ya Envaya. Pia anafundisha chuo kinachoitwa Bowdoin College.

Lilian Matari Meneja Mwenza wa Programu Afrika Mashariki

Asia R. Kilambwanda Lilian Matari ni mkereketwa mkubwa sana kuhusu mabadiliko ya kijamii na maendeleo ya bara la Afrika. Kama Meneja mwenza wa programu hii ya Envaya kwa ukanda wa Afrika ya Mashariki, husaidia kuratibu mipango na shughuri mbalimbali za Envaya ili kuhakikisha teknolojia na huduma za Envaya zinaboreshwa kulingana na mahitaji ya watumiaji.Alipata shahada yake ya kwanza ya Uhusiano wa Kimataifa na Mafunzo ya Maendeleo kutoka Chuo Kikuu cha Sussex, pia amewahi kufanya kazi na UNESCO Tume ya Taifa ya Tanzania. Lilian anaongea Kiswahili, Kifaransa na Kiingereza kwa ufasaha.

Maryam Kazerooni Kiongozi msanifu

Maryam KazerooniAnajulikana Duniani kote kama msanii na mbunifu wa tovuti, Maryam Kazerooni kazi yake ni kubuni na kuhakikisha Envaya inatumika kiurahisi na inafaa. Yeye pia ni kiongozi msanifu wa NGO inayojihusisha na upandaji miti iitwayo Misitu ya Jumuiya ya Kimataifa .ni mzaliwa wa  Iran, Maryam sasa anaishi na kufanya kazi San Francisco, na kwingineko tovuti yake ni http://maryamkazerooni.com/ .

Ramadhan Mgaya Mratibu Shughuri Tanzania

Ramadhan Mgaya Kama mratibu wa shughuri za Envaya nchini Tanzania, Ramadhan Mgaya hutoa msaada wa kimafunzo kwa mashirika madogo ya kijamii yanayotumia tovuti ya Envaya, pia husaidia kuendesha mikutano yetu na warsha mbalimbali ili kujenga uwezo kwa mashirika ya kiraia nchini kote. Uzoefu wake wa awali ni pamoja na kufanya kazi na NGO inayoitwa Jean Media pia kufanya kazi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea.

Ismail Muhija Tanzania ICT Mtaalamu

Ismail Muhija Ismail Muhija anafanya kazi na kuhakikisha oparesheni ya Envaya Tanzania katika kitengo cha teknolojia ya habari na mawasiliano vinaleta ufanisi kwa mahitaji. Ana shahada ya Teknolojia ya Habari Tanzania pia anauzoefu wa kufanya kazi na makampuni makubwa ya mawasiliano ya simu kama vile Zantel , Ismail ana uelewa wa kutosha katika teknolojia ya habari na mawasiliano nchini Tanzania.

Hussein Hassan Meneja Mipango Msaidizi Tanzania

Natalino Mwenda Hussein Hassan anatoa mafunzo na msaada kwa asasi za kiraia ngazi ya chini, na anafanya kazi na timu ya Envaya ili kuhakikisha programu na huduma za Envaya zinakuwa na tija zaidi kwa mahitaji ya watumiaji. Hussein ana shahada ya kwanza ya uhifadhi wa wanyamapori kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam. Kabla ya Envaya alifanya kazi katika Manispaa ya Ilala na pia shirika la uhifadhi misitu Tanzania


Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe

Ibyasobanuwe

Google Translate
2 Ugushyingo, 2012
Yoshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kufuzu kutoka Stanford na shahada katika sayansi ya kompyuta, Yoshua Stern aliwahi kama Peace Corps kujitolea katika Tanzania, ambako alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa msingi ICT elimu kwa jamii katika mkoa wake. Yoshua ushirikiano ilianzishwa Envaya katika 2010 kwa lengo la kujenga na kupeleka jukwaa programu ambayo hutoa "maili...
ramadhan
26 Werurwe, 2012
Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kupata shahada yake ya sayansi ya kompyuta kutoka chuo cha Stanford, Joshua Stern alienda kujitolea Peace Corps Tanzania ambapo alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya teknolojia ya habari na mawasiliano yaani ICT. Joshua alianzisha shirika hili mwaka 2010 kwa lengo la kujenga jukwaa ya programu inayowezesha uhusiano...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
ramadhan
26 Werurwe, 2012
Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kupata shahada yake ya sayansi ya kompyuta kutoka chuo cha Stanford, Joshua Stern alienda kujitolea Peace Corps Tanzania ambapo alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya teknolojia ya habari na mawasiliano yaani ICT. Joshua alianzisha shirika hili mwaka 2010 kwa lengo la kujenga jukwaa ya programu inayowezesha uhusiano...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
ramadhan
26 Werurwe, 2012
Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kupata shahada yake ya sayansi ya kompyuta kutoka chuo cha Stanford, Joshua Stern alienda kujitolea Peace Corps Tanzania ambapo alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya teknolojia ya habari na mawasiliano yaani ICT. Joshua alianzisha shirika hili mwaka 2010 kwa lengo la kujenga jukwaa ya programu inayowezesha uhusiano...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
envayateam
1 Werurwe, 2012
Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kupata shahada yake ya sayansi ya kompyuta kutoka chuo cha Stanford, Joshua Stern alienda kujitolea Peace Corps Tanzania ambapo alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya teknolojia ya habari na mawasiliano yaani ICT. Joshua alianzisha shirika hili mwaka 2010 kwa lengo la kujenga jukwaa ya programu inayowezesha uhusiano...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
envayateam
1 Werurwe, 2012
Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kupata shahada yake ya sayansi ya kompyuta kutoka chuo cha Stanford, Joshua Stern alienda kujitolea Peace Corps Tanzania ambapo alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya ICT. Joshua ni mwanzilishi mwenza wa Envaya, alianzisha shirika hili mwaka 2010 kwa lengo la kujenga jukwaa ya programu inayowezesha uhusiano kati ya...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
envayateam
1 Werurwe, 2012
Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kupata shahada yake ya sayansi ya kompyuta kutoka chuo cha Stanford, Joshua Stern alienda kujitolea Peace Corps Tanzania ambapo alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya ICT. Joshua ni mwanzilishi mwenza wa Envaya, alianzisha shirika hili mwaka 2010 kwa lengo la kujenga jukwaa ya programu inayowezesha uhusiano kati ya...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
envayateam
27 Gashyantare, 2012
Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kumapata shahada yake ya sayansi ya kompyuta kutoka chuo cha Stanford, Joshua Stern alienda kujitolea Peace Corps Tanzania ambapo alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya ICT. Joshua ni mwanzilishi mwenza wa Envaya, alianzilisha sirika hii mwaka 2010 kwa lengo la kujenga jukwaa ya programu inayowezesha uhusiano kati...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
Google Translate
27 Gashyantare, 2012
Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kufuzu kutoka Stanford na shahada ya sayansi ya kompyuta, Yoshua Stern aliwahi kuwa Peace Corps kujitolea katika Tanzania, ambako alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya ICT na jumuiya katika kanda yake. Joshua ushirikiano ilianzishwa Envaya mwaka 2010 kwa lengo la kujenga na kupeleka jukwaa programu ambayo hutoa...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
Google Translate
6 Ugushyingo, 2011
Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kufuzu kutoka Stanford na shahada ya sayansi ya kompyuta, Yoshua Stern aliwahi kuwa Peace Corps kujitolea katika Tanzania, ambako alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya ICT na jumuiya katika kanda yake. Hii uzoefu formative wazi kwamba wakati ufanisi zaidi, maendeleo endelevu juhudi kuanza katika ngazi ya jamii,...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
Google Translate
24 Nzeli, 2011
Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kufuzu kutoka Stanford na shahada ya sayansi ya kompyuta, Yoshua Stern aliwahi kuwa Peace Corps kujitolea katika Tanzania, ambako alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya ICT na jumuiya katika kanda yake. Hii uzoefu formative wazi kwamba wakati ufanisi zaidi, maendeleo endelevu juhudi kuanza katika ngazi ya jamii,...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
Google Translate
30 Kanama, 2011
Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kufuzu kutoka Stanford na shahada ya sayansi ya kompyuta, Yoshua Stern aliwahi kuwa Peace Corps kujitolea katika Tanzania, ambako alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya ICT na jumuiya katika kanda yake. Hii uzoefu formative wazi kwamba wakati ufanisi zaidi, maendeleo endelevu juhudi kuanza katika ngazi ya jamii,...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
Google Translate
13 Nyakanga, 2011
Joshua Stern Mkurugenzi Mtendaji – (image) Baada ya kufuzu kutoka Stanford na shahada ya sayansi ya kompyuta, Yoshua Stern aliwahi kuwa Peace Corps kujitolea katika Tanzania, ambako alifanya kazi ya kujenga miundombinu ya kompyuta na kutoa elimu ya msingi ya ICT na jumuiya katika kanda yake. Hii uzoefu formative wazi kwamba wakati ufanisi zaidi, maendeleo endelevu juhudi kuanza katika ngazi ya jamii,...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera