Envaya

Tafsiri: Kiswahili (sw): Maandiko ya Watumiaji: WI000033F93F619000020547:content

Asili (Kiswahili) Kiswahili
OLAI ni Asasi ya kiraia iliyoanzishwa mwaka 2010 na kupata usajili katika wizara ya Maendeleo ya jamii, Jinsia na watoto mwaka 2011. Ofisi za makao makuu zipo kijiji cha Sokoine, kata ya Chaume, Wilaya ya Tandahimba, Mkoa wa Mtwara Tanzania.
Kuiwezesha jamii ya wakulima wadogo na wa kati wa Tandahimba na Tanzania, kutambua fursa mbalimbali na kuzitumia na kushiriki kwa ufanisi ili iwawezeshe kuyaboresha maisha yao.

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe

Historia ya tafsiri

OLAI
27 Julai, 2016
Kuiwezesha jamii ya wakulima wadogo na wa kati wa Tandahimba na Tanzania, kutambua fursa mbalimbali kwa kuzitumia na kushiriki kwa ufanisi ili iwawezeshe kuyaboresha maisha yao.
OLAI
19 Oktoba, 2013
Kuiwezesha jamii ya wakulima wadogo na wa kati wa Tandahimba na Tanzania, kutambua fursa mbalimbali na kuzitumia na kushiriki kwa ufanisi ili iwawezeshe kuyaboresha maisha yao.
This translation refers to an older version of the source text.
OLAI
19 Oktoba, 2013
Kuishawishi serikali kutoa kipaumbele na kutenga bajeti inayokidhi mahitaji ya sera ya kilimo
This translation refers to an older version of the source text.