Internal ID | Asili | Kiswahili | Maoni | Muda ya Uumbaji |
---|
CMd9e3ilLSvrH1E6e7Q6YuUW:content | good start and congratulations for showing us a way to succeed this will be the starting point to join you all as to enhance the information sharing and build mutual relationship and trust with other CBOs and NGOs within and out side Tanzania particularly Zanzibar, therefore can NGOs from Zanzibar be the member of NACONGO and RGB | nzuri ya kuanza na pongezi kwa kutuonyesha njia ya kufanikiwa hii itakuwa hatua ya mwanzo ya kujiunga na wewe wote kama kuimarisha upashanaji habari na kujenga uhusiano kuheshimiana na kuaminiana na CBOs nyingine na mashirika yasiyo ya kiserikali ndani na nje upande wa Tanzania Zanzibar, kwa hiyo NGOs unaweza kutoka Zanzibar kuwa mwanachama wa NACONGO na RGB | Here is another event I would like to share with every one.After a certain time being receiving a reguest from one young person wanting our Organization to help her buying a sewing mashine as she is an Orphan since her dad passed away while she was little,one of us decided to use a pulpit one day as he was preaching a congregation,he educated people on how it is important to help a needy person,after just thirty minutes the congregation was moved and contributed money enough for parchessing a sewing mashine for that young person! So it is posible.Our people need to be educated and told what to do. | 23 Desemba, 2012 na MCM |
CMd9e3ilLSvrH1E6e7Q6YuUW:content | good start and congratulations for showing us a way to succeed this will be the starting point to join you all as to enhance the information sharing and build mutual relationship and trust with other CBOs and NGOs within and out side Tanzania particularly Zanzibar, therefore can NGOs from Zanzibar be the member of NACONGO and RGB | nzuri ya kuanza na pongezi kwa kutuonyesha njia ya kufanikiwa hii itakuwa hatua ya mwanzo ya kujiunga na wewe wote kama kuimarisha upashanaji habari na kujenga uhusiano kuheshimiana na kuaminiana na CBOs nyingine na mashirika yasiyo ya kiserikali ndani na nje upande wa Tanzania Zanzibar, kwa hiyo NGOs unaweza kutoka Zanzibar kuwa mwanachama wa NACONGO na RGB | It is me Phares Mussa ,yhe Director of the Magu Child Ministry,Iwould like to testfy that it is possible to raise fund withing our communities and get what we really need.It was just few passed weeks our Ogarnization needed hymn books for our 3oo children/youths,we introduced it in one church where our children/youth choir sang and people were touched right away and provided all the books we needed! It was not easy to believe this but it happened. | 23 Desemba, 2012 na MCM |
WI0009C3CF86EBB000008768:content | BAGODE is committed to serve and support orphans and street children to live in families and to giving them development opportunities through Research, Capacity building and Advocacy. – We rely on mutual learning and sharing of our results, designing of innovative and quality programs to realize our Mission. | BAGODE is committed to Serve and support Orphans and street children to live in. Families and to giving them development opportunities through Research, Advocacy and Capacity building. – We rely on Mutual learning and sharing of our results, Designing of Innovative and quality program to Realize our Mission. | Lengo kuu la shirika la BAGODE ambalo ndilo ninalofanyika kazi kwa sasa kama mkurugenzi ni ulinzi kwa watoto katika nyanja zote hasa elimu. Tunafanya hivi ili kumsaidia mtoto aweze kupata haki ya elimu kama haki ya msingi kwake. Hivyo mradi wa uwezo utanisaidia kuongeza ujuzi katika kazi yangu ya ufuatiliaji wa masuala ya elimu kwa watoto yatima mashuleni. Hivyo ninapenda kufanya kazi na mradi wa uwezo ili niweze kuongeza ufanisi katika kazi yangu ya ufuatiliaji wa masuala ya elimu kwa watoto yatima mashuleni. | 11 Desemba, 2012 na bagode |
edit_design | Edit Design | Hariri Mwonekano | Katika harakati za kufikia malengo yEtu,JIDA imeshaandaa Mradi wa Mafunzo ya kuwajengea Uwezo wananchi wa Kata ya Lundi juu Mafunzo ya Mbinu za Ufuatiliaji wa Matumizi ya fedha za Ruzuku za Umma {PETS} zinazotengwa na Serikali kwa ajili ya maboresho ya Sekta ya Elimu katika Kata ya Lundi,Mradi huu umefadhiliwa na Foundation for Civil Society,Pia JIDA tumeshafanya mafunzo ya Kuwajengea Uwezo wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Kata ya Lundi na Wajumbe wa Kamati za Shule zilizomo katika kata ya Lundi juu ya Upangaji wa Bajeti,Kanuni na Sheria za simamizi wa fedha za Umma na Misingi ya Utawala Bora.Mradi huu pia umefadhiliwa na FCS.Mradi huu umefanikiwa sana sana,kwa upande wa Mradi wa mafunzo ya PETS,Wananchi wa Kata ya Lundi sasa wa uelewa wa kutosha katika ufuatiliaji wa fedha za Umma na wanaitumia mbinu ya ufuatiliaji wa matumizi ya fedha za umma kama ni Nyenzo yao endelevu si katika ufuatiliaji wa fedha za umma,bali pia wametambua kuwa Usimamizi wa Rasilimali za Umma ni jukumu lao,wamepata muamko wa kuhudhuria katika Mikutano ya Wananchi na kuhoji mapato na matumizi ya fedha wanazochangia katika kuboresha Elimu katika Kata na Vijiji vyao,Kwa upande wa Kamati ya Maendeleo ya Kata na Kamati za Shule wameweza kutambua kuwa njia pekee ya kufika katika mafanikio ni kuwajibika na kuwa wawazi katika utendaji wa shughuli zao za kila siku,Kutoa taarifa za mapato na matumizi na kuwashirikisha wananchi katika kupanga na kusimamia Miradi ya Maendeleo ya Sekta mbalimbali ikiwemo ya Elimu. | 24 Septemba, 2012 na JIDA |
edit_design | Edit Design | Hariri Mwonekano | JIKWAMUE DEVELOPMENT ASSOCIATION,ITAHAKIKISHA KUYAFIA MALENGO YAKE,KWA KUTOA ELIMU KWA JAMII KWA NJIIA YA SEMINA,MIDAHALO MIKUTANO YA KUIHAMASISHA JAMII NA MAKONGAMANO YA WAZI | 24 Septemba, 2012 na JIDA |
share:facebook | Facebook | Facebookah | tuwapende watoto | 30 Julai, 2012 na giagomd |
edit_site | Edit Site | Hariri Tovuti | ZANZIBAR SCOUTS ASSOCIATION | 14 Mei, 2012 na ZANSA |
design:edit | Edit website design | mwonekano wa tovuti Zanzibar scouts association ya envaya ndani ya google sasa | Sasa waweza kuiona acount yako ya envaya ndani ya google. | 14 Mei, 2012 na ZANSA |
feed:title | Latest updates | Mabadiliko mapya | Sasa chama cha maskauti wamepata wavuti yao ya envaya | 13 Mei, 2012 na ZANSA |
date:hours_ago | %s hours ago | saa %s zilizopita | Chama cha maskauti ni chama pekee cha kulea vijana wenye umri, rika, dini, mbali mbali nchini | 13 Mei, 2012 na ZANSA |