Base (Swahili) |
English |
Kuelimisha jamii juu ya kujikinga na maabukizi mapya ya virusi vya UKIMWI,kuanzisha kituo cha uchunguzi wa magonjwa yatokanayo na kujamiana Mradi ulifadhiliwa na TACOSODE Kupitia ruzuku ya NACP kwa kiasi cha fedha za Kitanzania shilingi Milioni Nne na Laki sita Mwaka 2006.Mradi wa utawala bora kwa viongozi wa Azaki na Serikali za vijiji katika Tarafa tatu za Kitangali , Chilangala na Newala ulifadhiliwa na The Foundation for Civil Society Kwa jumla ya Shilingi milioni 5 Mwaka 2006 . Mradi wa youth Balozi kwa ajili ya kuelimisha vijana waliopo mashuleni na nje ya Shule namna ya kujikinga na maabukizo mapya ya VVU/UKIMWI Ulitekelezwa katka kata Tatu za Mcholi I, Mnyambe na Mtopwa kwa ufadhili wa RFA Mtwara/Lindi kwa kiasi cha Fedha za Kitanzania shilingi milioni Sita na Laki nane mwaka 2O07/2008. Na Mradi wa kujenga uwezo kwa viongozi na wanachama wa Asasi ya Kuchele iliyofadhiliwa na FOUNDATION Kwa kiasi cha milioni 5 Mwaka 2010.
|
To educate the community about prevention and new maabukizi HIV / AIDS, establishment of disease monitoring station from sexual TACOSODE project was funded by grants through the NACP in the amount of money in Tanzanian shillings and four million six hundred thousand 2006.Mradi year of governance by Azaki and government leaders of villages in three regions of Kitangali, Newala Chilangala and was funded by The Foundation for Civil Society for a total of five million shillings in 2006. Project Youth Ambassador for educating young people who are in school and out of school how to prevent maabukizo new HIV / AIDS Ulitekelezwa katka Ward Three Mcholi I, Mnyambe and Mtopwa funding RFA Mtwara / Lindi for the amount of money to Tanzanian Shillings Six million and eight hundred thousand in 2O07/2008. The project capacity building for officials and members of the organization of rice funded by the Foundation for the amount of five million in 2010.
|