Envaya

/mta_mz/history: English: WI00003D397923B000008781:content

Base (Swahili) English

Hapa Tanzania, miaka ya nyuma, kabla ya mwaka 2003 huduma ya Usafirishaji ilikuwa inasimamiwa na Mamlaka ya Leseni Tanzania. Mamlaka hii, kwa kipindi chote ofisi zake zilikuwa ndani ya majengo ya serikali, kwa wakuu wa Mikoa. Hivyo, kila mkoa ulipewa himaya ilio sawa na eneo la utawala wanao miliki kiutawala wakati huo na kujulikana hivyo. Kwa hapa Mwanza, kulijulikana kisheria kama MWANZA REGION TRANSPORTATION LICENCING AUTHOURITY - MRTLA. Mamlaka ya mkoa ilikuwa na majukumua ya kutoa leseni za usafiri za ndani ya mkoa wake tu. Safari za kwenda kuishia nje ya mkoa ziliratibiwa makao makuu ya Mamlaka - Dar es Salaam.

Mabadiliko kwenye Sera ya Taifa ya Usafirishaji, Siasa ya nchi, mabadiliko ya kiuchumi na sababu nyingine nyingi kimataifa, zilihalisi serikali ilipeleka rasimu za sheria kadhaa kuunda MAMLAKA ZA UDHIBITI - ( REGULATORY AUTHORITIES ) na kujafuta zilizokuwepo zamani. Mamlaka hizo za Udhibiti ziko nyingi, na zimesambaa kwenye wizara mbali mbali zikiwemo EUWRA, TFDA, FCC, SUMATRA n.k. Kuingia kwa SUMATRA, kwanza kulifuta TLA, na ndio iliochukua jukumu la Kutoa Leseni kwa vyombo vyote vya Usafirishaji Tanzania kwa mujibu wa SURA ya 413 ya Sheria za Jamhuri ya Tanzania. Sheria tajwa juu, pia iliingiza usimamizi wa Reli na Vyombo vitumikavyo kusafiri kwenye Maji chini ya Mwemvuli mmoja.

Sheria hizo mpya ndio zilio tambua uwepo wa Wadau na kuwahamasisha kuwa nao karibu kwa lengo la kubadilisha uzoefu na kutatua changamoto zinazo kabili tasnia hiyo ya usafiri Tanzania kwa kuegemea TARATIBU SHIRIKISHI. Kuendana na mahitaji ya kuweza kufikisha mawazo yetu kwa pamoja, wamiliki wa vyombo vya usafirishaji Mwanza tuliitana hapo mwanzoni mwa 2008 kwa kikao cha kwanza na baadae vikao vingine vilifata hadi tulipofanikiwa kuitisha Mkutano wa kutengeneza Katiba. Katiba yetu ilipita kamati na usanifu sehemu kadhaa hadi tulipo fanikiwa kwenda isajiri Dar es Saalam mwaka huo huo na kupewa HATI.

Toka kipindi hicho,tumekuwa tukishirikiana na Wadau wenzetu mbali mbali kuhakikisha huduma za usafiri Jijini zinakuwa :-

                                a) Bora na zinatolewa na vyombo vyenye viwango

                                b) Zinapatikana kwa makundi yote

                                c) Huduma inayo zingati Hadhi na Heshima kwa binadamu wenzetu

 

In Tanzania, years back, before 2003 the service was managed by Transport Licensing Authority of Tanzania. This authority, for the whole period of his office were in government buildings, with the governor. Thus, each province was given the same authority Empire area who hold administrative rule at the time and known it. For here, Mwanza, was known legally as the first region LICENCING AUTHOURITY TRANSPORTATION - MRTLA. Regional authorities had majukumua the licensing of transport within its region only. Safari from going to end up outside the governor's headquarters ziliratibiwa Authority - Dar es Salaam.

Changes to the National Transportation Policy, Politics of the land, changes in economic and other reasons many international, government zilihalisi sent several draft laws to create Regulatory Authority - (Regulatory AUTHORITIES) and existing old kujafuta. Regulatory authorities are those many, and scattered in various ministries including EUWRA, TFDA, FCC, etc. Enter the SUMATRA SUMATRA, first blot out the TLA, and is responsible for licensing iliochukua for all the vessels of Transportation Tanzania under Chapter 413 of the Law of the Republic of Tanzania. The law mentioned above, also associated with the management of railway travel in Water Containers used under one umbrella.

The new law is bestowed recognized the existence of stakeholders and motivating them closer to the goal of changing experience and solve challenges that are directed toward the transport industry for reliability Tanzania Participatory PROCEDURES. Consistent with the requirements of being able to convey our thoughts together, owners of vessels transporting Mwanza we call each other at the beginning of 2008 for the first session and subsequent sessions to other vilifata succeeds we create the Constitution to convene the meeting. Our Constitution and architecture committee passed several places until we managed to Dar es Saalam isajiri same year and given the documents.

From that period, we have been cooperating with various stakeholders to ensure our services are becoming urban transport: -

a) Governance and provided with standard containers

b) are available for all groups

c) Service has zingati Human Dignity and Respect for others


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
March 4, 2011
In Tanzania, years back, before 2003 the service was managed by Transport Licensing Authority of Tanzania. This authority, for the whole period of his office were in government buildings, with the governor. Thus, each province was given the same authority Empire area who hold administrative rule at the time and known it. For here, Mwanza, was known legally as the first region LICENCING AUTHOURITY TRANSPORTATION - MRTLA. Regional authorities had majukumua the licensing of transport within...