Base (Swahili) |
English |
Tume fadhiliwa na The foundation for civil society(Ruzuku) ya awamu ya kwanza,katika mradi wa "kuijengea Asasi uwezo",tuna taraji kunufaika zaidi na mradi huu,kwani tulianza Vijana ambao niwalengwa wetu katika Asasi pia tuna tarajia kuwa na mradi wa Watoto ambao pia niwalengwa wetu.
|
Commission funded by The Foundation for Civil Society (Grant) of the first phase, a project to "build institutions capable", we hope to benefit more with this project, since we started Youth who niwalengwa in our organization we also have hope that the project of children who niwalengwa also ours.
|