Asili (Kiswahili) | Kiswahili |
---|---|
TIMU YA VIONGOZI WA KIKUNDI CHA "WANAHARAKATI WA ELIMU, MAZINGIRA NA AFYA" (WEMA) NA MAHALI KIKUNDI KILIPO MAKAO YA KIKUNDI CHA WEMA: KIJIJI CHA Mkalapa-Ndanda KATA YA Mwena WILAYA YA Masasi MKOA WA Mtwara - Tanzania 1. MWENYEKITI WA WEMA: Mr. Fidelis Milanzi 2. MAKAMU MWENYEKITI WA WEMA: Mr. Soteri Mnembuka 3. KATIBU WA WEMA: Mr. Ally K. Kamtande 4. MTUNZA FEDHA WA WEMA: Mchungaji: Joseph Mwanga 5. KAMATI YA UTENDAJI (Ina wajumbe wafuatao): i. Fidelis Milanzi ii. Soteri Mnembuka iii. Ally K. Kamtande iv. Joseph Mwanga v. Rehema Amiri vi. Jeneth Mwanga vii. Jesca Milanzi MRATIBU NA MSHAURI WA WEMA: Mr. Mussa P.M. Kamtande KWA MUJIBU wa Katiba ya WEMA, kiongozi atadumu katika madaraka kwa muda wa miaka mitatu. Baada ya hapo uchaguzi hufanyika. Yule atakayehitajika na wanakikundi anaweza kuchaguliwa tena kuwa kiongozi, katika nafasi yeyote. Kwa upande wa Mshauri na Mratibu wa kikundi, yeye hachaguliwa. Katika kikundi cha WEMA yeye ndiye mhamasishaji na chimbuko la kuanzishwa kwa kikundi hicho, na karibu taarifa zote zinazohusu kikundi zimeandaliwa na yeye.
|
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe