Kuwa na mahusiano mazuri kati ya wanawake na wanaume wilayani newala. wanawake kutoendelea kukandamizwa, talaka holela na ndoa za mitala kutokana na mila na desturi zilizopo na mwamko mdogo wa jamii. Sisi wanawake wa newala tumeamua kuuanzisha chombo (newora) kitakachojishughulisha kwa karibu na wadau mbalimbali wa maendeleo wilaya kutatua matatizo ya jamii yanayosababisha wanawake kukandamizwa na kunyanyasika wilayani newala. – Pia kusirikiana na... | (Bila tafsiri) | Hariri |