Base (Swahili) | English |
---|---|
Ofisi ya Kijogoo Group for Community Development ina wakaribisha wadau/mdau anayetaka kujitolea, sisi tuko tayari kumpokea lakini ofisi haina uwezo wa kumpa hata nauli ispokuwa ikitokea fursa yoyote atapewa kipaumbele cha mahitaji muhimu ya kibinadamu. Asante Tangazo hili limetolewa na Mkurugenzi Bwana Ramadhan Omary |
(Not translated) |