Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/kgcd/volunteer
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Kijogoo Group for Community tupo Morogoro mjini,ni Asasi isiyo ya Kiserikali iliyosajiliwa tarehe 08/Jan 2008 na kupewa namba ya usajili 00NGO/0330. – Kwa sasa tuna nafasi moja tu inayohitajika ambayo ni AFISA MIRADI. – AFISA MIRADI:- – Mwombaji wa nafasi hii lazima uwe na Elimu ya kutosha na uwezo wa kuipatia Asasi miradi ikiwemo ya ndani Nchi na nje ya Nchi na uwe tayari kushirikiana na uongozi na Bodi ya asasi na kuridhika na mazingira ya kazi....
(Bila tafsiri)
Hariri