Envaya

/yestz/post/58614: English: WI3PrHDPAIX0vYzcu4UykdVB:content

Base (Swahili) English

BABA ABAKA MWANAE WA MIAKA 2.5 NA KUMUUMIZA VIBAYA.

WAKATI wanaharakati wakipaza sauti za siku 16 za kupinga ukatili
,mkazi mmoja wa mtaa wa Sedeko kata ya Stendi kuu wilayani Serengeti
John Nashon(25)amembaka mwanae wa miaka 2.5 na kumuumiza vibaya kisha
akatoroka.

Tukio hilo ambalo limepokelewa kwa hisia tofauti na wakazi wa mji wa
Mugumu linadaiwa kutokea novemba 26,majira ya saa 12.00 jioni mwaka
huu katika mtaa huo na kuripotiwa kituo cha polisi Mugumu mjini.

Mama mzazi wa mtoto huyo akiongea na Mwananchi akiwa hospitali teule
ya Nyerere ddh alikolazwa kitanda namba 8 wodi ya watoto ,alisema
wakati unyama huo unatendeka alikuwa sokoni.

“Nilimwacha mwanangu na baba yake ambaye ni fundi wa magari gereji ya
Mayala mjini hapa,kurudi kufika mlangoni mme wangu akanieleza niingie
ndani haraka nimkande mtoto mwili mzima kwa maji baridi…nilikuwa sijui
kinachoendelea”alisema na kuendelea

“Kuingia chumba cha kulala nikamkuta mtoto amelala
kitandani,kumnyanyua damu zikamwagika mithili ya maji kutoka sehemu
yake ya siri…kumwangalia nikakuta amechanika sehemu zake za
siri”alisema.

Hali hiyo ilimpelekea kumwangukia mwanae na kuanza kulia kwa uchungu
na alipotaka maelezo kwa mme wake alisema alimsukuma kwa bahati mbaya
mwanae akaanguka kwenye kochi na kuchomwa na msumari sehemu zake za
siri.

“Nilipomwambia tumpeleke hospitali akakataa tena akinitishia kunipiga
kwa madai kuwa siri itafichuka…niligundua kumbe ndiye kafanya unyama
huo,nilitoka kwa nguvu hadi kituo cha polisi na kupewa pf 3,nikimwacha
hapo,lakini alikimbia na haijulikani alipo”alisema.

Hata hivyo alipomuuliza mwanae kilichomtokea akasema kuwa baba yake
ndiye aliyemfanyia unyama,huku akishangaa kwa kitendo hicho kwenye
ndoa yao iliyodumu kwa mwaka mmoja toka novemba 2011.

Mganga mkuu wa hospitali hiyo Dk.Kelvin Mwasha amekiri kumpokea mtoto
huyo na kuwa amelazwa wodi la watoto ,kutokana na maumivu na kuvuja
damu nyingi ililazimu kuongezewa damu.

“Sehemu zake za siri zilikutwa zimeharibiwa sana ,amepata huduma ikiwa
ni pamoja na kuchukua sampuli za maji yaliyokuwa yanatoka ukeni kwa
ajili ya vipimo …amekutwa yuko salama,lakini hili tukio si la kawaida
linatakiwa kulaaniwa ,na ndiyo yanaifanya wilaya kuonekana na matukio
ya ukatili”alisema.

Hivi karibuni katika uzinduzi wa siku 16 zakupinga ukatili kamanda wa
polisi mkoa wa Mara Absalom Mwakyoma alisema kunaongezeko kubwa la
matukio ya ukatili,ambapo kwa mwaka huu toka januari yameripotiwa
matukio 201 ikiwa ni tofauti na mwaka 2011 matukio 148 yaliriripotiwa
polisi.

Mwisho.



BABA his one Abaka 2.5 YEARS AND BADLY hurt.

WHEN activists cried for 16 days against violence
, One of the local resident's main bus stop Sedeko county district Serengeti
John Nashon (25) had raped her child 2.5 years and then badly hurt
He escaped.

The event, which has been received with mixed feelings by residents of the city of
Concrete allegedly occurring November 26, at 12.00 pm summer in
this in the local police station reportedly concrete city.

The child's mother speaking to The Citizen at designated hospitals
ddh Nyerere was kolazwa bed children's ward number 8, said
inhuman when it happens was a butcher.

"My son left him by his father who is a mechanic garage
Eat in here, go to the gates of my husband and he told me go in
nimkande child in quick entire body with cold water ... I had no idea
going on, "he said and continued

"Entering the bedroom I found the child lying
bed, kumnyanyua zikamwagika blood like water from
Its secret ... I looked at the walls has torn his part
secret, "he said.

Situation ilimpelekea upon him his son and started crying bitterly
and he wanted an explanation for her husband said he accidentally pushed
son and fell on the couch and burned to nail his part
secret.

"We raise an Nilipomwambia hospital she refused again he threatened to beat me
an alleged secret itafichuka ... I noticed they did when he was inhuman
time, I came to power to the police station and given pf 3, I left
there, but he fled to unknown whereabouts, "he said.

However kilichomtokea asked his son said that his father
he hath made ​​him inhuman, while wondering practice on
their marriage that survived for one year from November 2011.

Head of the hospital's Physician Dk.Kelvin Asha has acknowledged receipt of child
admitted to the ward and had a child, due to pain and leakage
became necessary blood transfusion.

"Part of the secret of his zilikutwa have been destroyed too, has received services as
include taking water samples were extracted by vaginal
tests for ... has found is safe, but this is not a common occurrence
should be condemned, and that the district makes the appearance and events
of violence, "he said.

Recently, at the launch of 16 days zakupinga cruel commander
Mara Region police said Absalom Mwakyoma great kunaongezeko
incidents of violence, where from January this year reportedly
201 if one is different from the 2011 one 148 yaliriripotiwa
police.

End.




In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
January 10, 2013
BABA his one Abaka 2.5 YEARS AND BADLY hurt. – WHEN activists cried for 16 days against violence – , One of the local resident's main bus stop Sedeko county district Serengeti – John Nashon (25) had raped her child 2.5 years and then badly hurt – He escaped. – The event, which has been received with mixed feelings by residents of the city of – Concrete allegedly...