BABA ABAKA MWANAE WA MIAKA 2.5 NA KUMUUMIZA VIBAYA.
WAKATI wanaharakati wakipaza sauti za siku 16 za kupinga ukatili ,mkazi mmoja wa mtaa wa Sedeko kata ya Stendi kuu wilayani Serengeti John Nashon(25)amembaka mwanae wa miaka 2.5 na kumuumiza vibaya kisha akatoroka.
Tukio hilo ambalo limepokelewa kwa hisia tofauti na wakazi wa mji wa Mugumu linadaiwa kutokea novemba 26,majira ya saa 12.00 jioni mwaka huu katika mtaa huo na kuripotiwa kituo cha polisi Mugumu mjini.
Mama mzazi wa mtoto huyo akiongea na Mwananchi akiwa hospitali teule ya Nyerere ddh alikolazwa kitanda namba 8 wodi ya watoto ,alisema wakati unyama huo unatendeka alikuwa sokoni.
“Nilimwacha mwanangu na baba yake ambaye ni fundi wa magari gereji ya Mayala mjini hapa,kurudi kufika mlangoni mme wangu akanieleza niingie ndani haraka nimkande mtoto mwili mzima kwa maji baridi…nilikuwa sijui kinachoendelea”alisema na kuendelea
“Kuingia chumba cha kulala nikamkuta mtoto amelala kitandani,kumnyanyua damu zikamwagika mithili ya maji kutoka sehemu yake ya siri…kumwangalia nikakuta amechanika sehemu zake za siri”alisema.
Hali hiyo ilimpelekea kumwangukia mwanae na kuanza kulia kwa uchungu na alipotaka maelezo kwa mme wake alisema alimsukuma kwa bahati mbaya mwanae akaanguka kwenye kochi na kuchomwa na msumari sehemu zake za siri.
“Nilipomwambia tumpeleke hospitali akakataa tena akinitishia kunipiga kwa madai kuwa siri itafichuka…niligundua kumbe ndiye kafanya unyama huo,nilitoka kwa nguvu hadi kituo cha polisi na kupewa pf 3,nikimwacha hapo,lakini alikimbia na haijulikani alipo”alisema.
Hata hivyo alipomuuliza mwanae kilichomtokea akasema kuwa baba yake ndiye aliyemfanyia unyama,huku akishangaa kwa kitendo hicho kwenye ndoa yao iliyodumu kwa mwaka mmoja toka novemba 2011.
Mganga mkuu wa hospitali hiyo Dk.Kelvin Mwasha amekiri kumpokea mtoto huyo na kuwa amelazwa wodi la watoto ,kutokana na maumivu na kuvuja damu nyingi ililazimu kuongezewa damu.
“Sehemu zake za siri zilikutwa zimeharibiwa sana ,amepata huduma ikiwa ni pamoja na kuchukua sampuli za maji yaliyokuwa yanatoka ukeni kwa ajili ya vipimo …amekutwa yuko salama,lakini hili tukio si la kawaida linatakiwa kulaaniwa ,na ndiyo yanaifanya wilaya kuonekana na matukio ya ukatili”alisema.
Hivi karibuni katika uzinduzi wa siku 16 zakupinga ukatili kamanda wa polisi mkoa wa Mara Absalom Mwakyoma alisema kunaongezeko kubwa la matukio ya ukatili,ambapo kwa mwaka huu toka januari yameripotiwa matukio 201 ikiwa ni tofauti na mwaka 2011 matukio 148 yaliriripotiwa polisi.
Mwisho.
|
BABA his one Abaka 2.5 YEARS AND BADLY hurt.
WHEN activists cried for 16 days against violence , One of the local resident's main bus stop Sedeko county district Serengeti John Nashon (25) had raped her child 2.5 years and then badly hurt He escaped.
The event, which has been received with mixed feelings by residents of the city of Concrete allegedly occurring November 26, at 12.00 pm summer in this in the local police station reportedly concrete city.
The child's mother speaking to The Citizen at designated hospitals ddh Nyerere was kolazwa bed children's ward number 8, said inhuman when it happens was a butcher.
"My son left him by his father who is a mechanic garage Eat in here, go to the gates of my husband and he told me go in nimkande child in quick entire body with cold water ... I had no idea going on, "he said and continued
"Entering the bedroom I found the child lying bed, kumnyanyua zikamwagika blood like water from Its secret ... I looked at the walls has torn his part secret, "he said.
Situation ilimpelekea upon him his son and started crying bitterly and he wanted an explanation for her husband said he accidentally pushed son and fell on the couch and burned to nail his part secret.
"We raise an Nilipomwambia hospital she refused again he threatened to beat me an alleged secret itafichuka ... I noticed they did when he was inhuman time, I came to power to the police station and given pf 3, I left there, but he fled to unknown whereabouts, "he said.
However kilichomtokea asked his son said that his father he hath made him inhuman, while wondering practice on their marriage that survived for one year from November 2011.
Head of the hospital's Physician Dk.Kelvin Asha has acknowledged receipt of child admitted to the ward and had a child, due to pain and leakage became necessary blood transfusion.
"Part of the secret of his zilikutwa have been destroyed too, has received services as include taking water samples were extracted by vaginal tests for ... has found is safe, but this is not a common occurrence should be condemned, and that the district makes the appearance and events of violence, "he said.
Recently, at the launch of 16 days zakupinga cruel commander Mara Region police said Absalom Mwakyoma great kunaongezeko incidents of violence, where from January this year reportedly 201 if one is different from the 2011 one 148 yaliriripotiwa police.
End.
|