BABA ABAKA MWANAE WA MIAKA 2.5 NA KUMUUMIZA VIBAYA. – WAKATI wanaharakati wakipaza sauti za siku 16 za kupinga ukatili – ,mkazi mmoja wa mtaa wa Sedeko kata ya Stendi kuu wilayani Serengeti – John Nashon(25)amembaka mwanae wa miaka 2.5 na kumuumiza vibaya kisha – akatoroka. – Tukio hilo ambalo limepokelewa kwa hisia tofauti na wakazi wa mji wa – Mugumu... | (Not translated) | Hindura |