Base (Swahili) | English |
---|---|
Zenna vipi za masiku natumaini upo mzima. mimi dadake mkubwa wa rashidi wa hapa Sinza.familia ya mohammed.nimesikia unaishi hapa hoteli Mwika. nilitaka tushauriane kuhusu jambo fulani.nimekuona hivi ukiwa na jamaa mmoja mweusi. nimeulizia nikapata habari unamahusiano na yule jamaa. dadangu kwa hisani nakuomba uyasikie.yule aliwahi kutembea na khadija mwenye duka la nguo hapo stendi ambaye ameaga hivi majuzi kutokana na virusi, ametembea na Asha, Pinky na visichana vya shule vidogo vidogo vya st.augustin university pale mza. yeye nimeskia ni career yeye kazi ni kuambukiza na kuwacha mabinti wakifa na virusi. nimepata habari amefungua biashara na anafanya utapeli wa hali ya juu pale mjini mza.kuwa makini dada dunia imebadilika. dada nakuombea mola usije kaambukizwa.ya mola makubwa muombe aturehemu sote jamani ya dunia ni mengi. wasalimu ndugu zako wote. mariamu. |
(Not translated) |