Kuiwezesha jamii ya kitanzania katika njia shirikishi kutambua matatizo waliyonayo na kupanga mikakati ya kukabiliana nayo na kuitekeleza kulingana na rasilimali zilizopo. – Lengo ni kuijenga jamii bora ya kitanzania kiafya, kielimu, kiuchumi na kiutamaduni, katika utawala bora, jinsia pamoja na mazingira kulingana na maleongo ya milenia na sera za kitaifa. | Enable the Tanzanian community in a collaborative way to identify the problems they have and plan strategies to deal with it and implement in accordance with existing resources. – The goal is to build a better community of Tanzanian health, educational, economic and cultural, in good governance, gender and environment in accordance with the millennium maleongo and national policies. | Edit |