Fungua

/abhasu/post/121385: Kiswahili

AsiliKiswahili
KUJIUNGA NA ABHASU – Kwa mtu yeyote anayetaka kujiunga na shirika hili anakaribishwa kutuma maombi kwa mwenyekiti wa shirika ambaye atampatia fomu ya kujaza. Fomu hii italipiwa Tsh 1000/- [elfu moja tu]. Hakikisha umeisoma katiba na kuelewa madhumuni,malengo na faida ya uanachama kwanza. Nakala ya katiba imeeambatanishwa hapa chini. (document) – Wenu Katibu Mkuu ...(Bila tafsiri)Hariri